Habar wana JF
Mimi ni graduator wa chuo kimojawapo jijini Mbeya mwaka wa jana, kutokana na tatizo la ajira niliamua kutafuta mtaji kwa kufanya kazi vibarua na nimefanikiwa kukusanya kiasi cha tshs 380000.
Hivyo naombeni ushauri nifanye biashara gani ambayo itanipa faida nzuri kwa mtaji wangu huo.
Kwetu ninaishi jijini Dodoma na ndo mahali ambapo nimepanga nifanyie biashara, ushauri mazingira+aina ya biashara, karibuni kwa ushauri wana JF.
Kupata mawazo zaidi ya biashara pitia uzi huu: Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?
Mimi ni graduator wa chuo kimojawapo jijini Mbeya mwaka wa jana, kutokana na tatizo la ajira niliamua kutafuta mtaji kwa kufanya kazi vibarua na nimefanikiwa kukusanya kiasi cha tshs 380000.
Hivyo naombeni ushauri nifanye biashara gani ambayo itanipa faida nzuri kwa mtaji wangu huo.
Kwetu ninaishi jijini Dodoma na ndo mahali ambapo nimepanga nifanyie biashara, ushauri mazingira+aina ya biashara, karibuni kwa ushauri wana JF.
Kupata mawazo zaidi ya biashara pitia uzi huu: Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?