Wakuu muishio Angola ndugu yenu nimepata kazi kwenye moja ya kampuni za simu hapo Luanda, yeyote aliye hapo jijini tuwasiliane ili angalau nijue ABC za hapo town...nyumba za kuishi,usafiri na mademu wa kupiga mikasi baada ya kazi/weekend. Asanteni
Risks zake ni pamoja na nini? wana wanawake warembo kama KIGALI?Luanda Angola ndiyo mji ghali kuishi kupita miji yote duniani kwa sasa. Of course kuna njia za ku avoid expenses ukikaa Manzese yao badala ya Oysterbay, of course kuna risk zake pia.
Tafuta wenyeji wakuelekeze vizuri.
Luanda,the most expensive city in the whole world
Duuh kwa hiyo kuuanan nje nje ama?Pale bunduki ndio ina bei ndogo
Angola Crime: How to Sidestep Dangers & Travel SafelyRisks zake ni pamoja na nini? wana wanawake warembo kama KIGALI?