Wakuu naomba kuuliza; Hivi tunahitaji visa kutembelea nchi za Burkinafaso, Siera Leon, Mali na Senegal? Kama tunahitaji, swali la nyongeza, je tuna ubalozi wa hizi nchi hapa bongo?
Hi nimefika huko,
Unahitaji VISA yes, ila utapewa ukifika Airport, kwa kuwa hakuna ubalozi wa hizo nchi huko TZ.
What you need most is to understand some French words:
Ninaanza kukupiga reharsal:
Karibu = Bienvenue
Jambo = bonjour
etc,
You need more?
Poti nimekifurahia kilugha hicho...Ebu endelea Mkuu!
NB: Dada/kaka green29 ukiwa tayari kuja nijulishe ninaweza kukusaidia zaidi
what is your name? comment t'apelle?Hi nimefika huko,
Unahitaji VISA yes, ila utapewa ukifika Airport, kwa kuwa hakuna ubalozi wa hizo nchi huko TZ.
What you need most is to understand some French words:
Ninaanza kukupiga reharsal:
Karibu = Bienvenue
Jambo = bonjour
etc,
You need more?