franknombo
Senior Member
- Mar 30, 2019
- 170
- 160
Naomben msaada Luna mdogo wangu Leo amekamatwa na not I bandia ya shilingi elfu 10 yy anadai alipewa malipo ya kaz kama laki moja ndpo alipopewa hyo pesa. Je sheria gan itatumika ili aweze kuwa huru, he akipatkana na hatia anaweza kuchukuliwa hatua gan kisheria