FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Nahitaji kimsalaba cha chuma kama hiko katikati hapo kwenye picha. Kwa hapa Dar, duka linalouza vifaa vya aina hii linapatikana wapi? Msaada please
Jaribu kukumbuka aiseeKuna mtu humu JF alikuwa anauza hivyo vitu nimemsahau jina
Ngoja nijaribu kuwa-search, thanksMikocheni Kuna Duka Linauza Vifaa Vya Madhabahuni
Sina Hakika Nadhani Soma Biblia
Daaah. Kesho itabidi niende tu kanisani bila kupenda, nikaulize wananunuliaga wapi hivi vitukile ki-Rozali kama cha Milad Ayo nimeshazunguka sana, aisee sijakipata.
Sawa, nitacheki , shukranUngejitahidi ikaenda Msimbazi s
Center au At Joseph posta kanisa katoriki