Habari ndugu zangu. Poleni na majukumu:
Naomba msaada kujua hospital gani kwa Tanzania imeendelea kwa kufanya operation ya mjamzito bila kuacha kovu kubwa? Iwe ya private au government ambayo imeendelea kiteknolojia katika suala la operation kwa Dar.Asanteni sana
Naomba msaada kujua hospital gani kwa Tanzania imeendelea kwa kufanya operation ya mjamzito bila kuacha kovu kubwa? Iwe ya private au government ambayo imeendelea kiteknolojia katika suala la operation kwa Dar.Asanteni sana