Msaada: Wapi nitapata simu za mezani??

Lavit

JF-Expert Member
May 16, 2011
13,103
26,980
Wakuu nahitaji simu ya mezani ambayo unaweza weka line hizi za kawaida kwa ajiri ya ofisi, kama nitapata na bei zake nitashukuru!!
 
Kuna tangazo niliwai liona kwenye App ya kupata ni la mwaka jana 2016 wameweka mawasiliano yao waweza jaribu.
71b1d940ee9d20d5d7a660cfc29a5e4d.jpg

f209cd5e9670603063eb64436fd7f85d.jpg
 
Zipo niliona wanauza 75K
Hii maana yake elfu 75 au laki saba na nusu? Zinauzwa wapi na inakubali line yoyote?
Nakumbuka mwaka jana nilizunguka maduka yote hadi IBM miaka mlimani city mall sikupata. Sanasana halotel walikuwa na zenye kukubali line zao tuu na bei ilikuwa tsh laki 3 halafu hakuna warranty.
 
Hii maana yake elfu 75 au laki saba na nusu? Zinauzwa wapi na inakubali line yoyote?
Nakumbuka mwaka jana nilizunguka maduka yote hadi IBM miaka mlimani city mall sikupata. Sanasana halotel walikuwa na zenye kukubali line zao tuu na bei ilikuwa tsh laki 3 halafu hakuna warranty.
Hiyo ni 75,000 tu na niliona tangazo lao fb.Ngoja nitafute nitakujulisha
 
Back
Top Bottom