Msaada: Wapi naweza sajili wazo langu?

dareda

JF-Expert Member
Oct 12, 2016
222
494
Wadau habari,
Naombeni msaada maelekezo nna idea yangu ya kuandaa maonyesho flani (exhibition) sasa watu wangu wa karibu niliowashirikisha waliniambia kwa nature ya wazo langu wabakaji wa mawazo wanaweza kulibaka wazo hili na kulimiliki hivyo n vema nikalisajili ili niwe na haki miliki nalo.
Sasa ni wapi na kwa namna gani naweza kulisajili wazo hili..?? Je kuna gharama...?? Ni kiasi gani......???

Wajuzi wa mambo haya msaada wenu tafadhalini.....
 
1. Nenda kajisajili BASATA wewe kama wewe.
2. Sajili BRELA jina la biashara la hilo tamasha
3. Lipa ada zote za serikali
4. Pata leseni ya biashara
5. Anza kazi na wazo lako lipo salama sasa
Wadau habari,
Naombeni msaada maelekezo nna idea yangu ya kuandaa maonyesho flani (exhibition) sasa watu wangu wa karibu niliowashirikisha waliniambia kwa nature ya wazo langu wabakaji wa mawazo wanaweza kulibaka wazo hili na kulimiliki hivyo n vema nikalisajili ili niwe na haki miliki nalo.
Sasa ni wapi na kwa namna gani naweza kulisajili wazo hili..?? Je kuna gharama...?? Ni kiasi gani......???

Wajuzi wa mambo haya msaada wenu tafadhalini.....
 
Wadau habari,
Naombeni msaada maelekezo nna idea yangu ya kuandaa maonyesho flani (exhibition) sasa watu wangu wa karibu niliowashirikisha waliniambia kwa nature ya wazo langu wabakaji wa mawazo wanaweza kulibaka wazo hili na kulimiliki hivyo n vema nikalisajili ili niwe na haki miliki nalo.
Sasa ni wapi na kwa namna gani naweza kulisajili wazo hili..?? Je kuna gharama...?? Ni kiasi gani......???

Wajuzi wa mambo haya msaada wenu tafadhalini.....
Nchi hii hakuna wazo unaloweza kulisajili...ila ukilifanyia kazi wazo, results zake ndizo unaweza kuzisajili. Kwa maana ya kuwa expressions of ideas are copyrighted or patented....lakini wazo halikidhi vigezo vya kulindwa kisheria.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom