mkadiriajimajenzi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 549
- 608
Naomba kwa anayefahamu mahali naweza safisha negativu za picha anielekeze.Nipo Dar es Salaam
Wale wanatumia Digital na wanaprint picha papo hapo.Fika manzese darajan panda juu utawakuta wapiga picha wengi tu uliza watakusaidia
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Maana yangu pale pale manzese darajana kwa mbele Kama unaenda mjin kuna studio Bado inasafisha negative so akiwauliza wale watamuekeza kwa uzuriiiWale wanatumia Digital na wanaprint picha papo hapo.
Huyu bado anatumia Yashika.
Nenda tawi la posta.Naomba kwa anayefahamu mahali naweza safisha negativu za picha anielekeze.Nipo Dar es SalaamView attachment 1812414
Nashukuru sana kwa ushauri wenu, hatimae baada ya kuzunguka saana nimefanikiwa kusafisha picha zote na nimepata softcopies kwa TZS 1,000 kila picha .Mpiga picha aliyenisafishia anaitwa Bw.Mathias 0713302252 anapatikana Posta Dar es salaamNaomba kwa anayefahamu mahali naweza safisha negativu za picha anielekeze.Nipo Dar es SalaamView attachment 1812414