Genecandy
JF-Expert Member
- Dec 13, 2017
- 491
- 882
Heshima yenu wakuu naomba kuuliza jamani.
Kuna mtu anauzoefu wa biashara ya Ice Cream za Azam kwa wale wanao tembeza kifuani wamevaa mankotena? Naomba mnisaidie utaratibu unakuwaje?Unachukulia wapi?
Na vipi faida yake maana kuna ndugu yangu anataka kuanza kufanya anasema ana laki moja awe anachukua alafu anatembeza. Yeye hataki vibaiskeli mana ni wa kike.
Kuna mtu anauzoefu wa biashara ya Ice Cream za Azam kwa wale wanao tembeza kifuani wamevaa mankotena? Naomba mnisaidie utaratibu unakuwaje?Unachukulia wapi?
Na vipi faida yake maana kuna ndugu yangu anataka kuanza kufanya anasema ana laki moja awe anachukua alafu anatembeza. Yeye hataki vibaiskeli mana ni wa kike.