Habarin,wadau mm ni mwanafunzi niliyemaliza form IV mwaka juzi nilikuwa ninatak kusom koz ya ICT kwa ngaz ya cheti,ila kuna kitu kinanitatiza maan kuna watu wananiambia hii koz n yeboyebo,watu wengi usihisome utaishia mtaani,naomben ushauri ndugu zangu.
Form iv nilipata hiv:
Civ-D
Engl-C
Math-D
Bios-C
Geo-D
KiswD
Hist-F
Form iv nilipata hiv:
Civ-D
Engl-C
Math-D
Bios-C
Geo-D
KiswD
Hist-F