fund xaa
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 253
- 90
Habari wakuu
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada wazoefu naombeni msaada kuna demu kila siku napanda nae dala dala tunashuka kituo kimoja nimetokea kumpenda kinoma leo nikamsalimia akajibu lakini nimemuomba namba kakataa msaada niende na gia gani tena anielewe?
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada wazoefu naombeni msaada kuna demu kila siku napanda nae dala dala tunashuka kituo kimoja nimetokea kumpenda kinoma leo nikamsalimia akajibu lakini nimemuomba namba kakataa msaada niende na gia gani tena anielewe?