Heshima kwenu wakuu
Nina simu yangu aina ya Tecno M3 Sasa takribani siku kadhaa sasa kila nikiiwasha inaishia kuandika tecno tu basi haiendelei zaidi ya hapo nikizima haizimi hadi nitoe betri ila nikiiwasha ndo kama ivo inaishia kuandika tecno kutwa nzimz..Msaada wenu Tafadhali
Nina simu yangu aina ya Tecno M3 Sasa takribani siku kadhaa sasa kila nikiiwasha inaishia kuandika tecno tu basi haiendelei zaidi ya hapo nikizima haizimi hadi nitoe betri ila nikiiwasha ndo kama ivo inaishia kuandika tecno kutwa nzimz..Msaada wenu Tafadhali