josephdeo
Member
- Nov 23, 2015
- 95
- 196
Habarini wapendwa
Jambo nililotaka kuwaomba ni kuwa Mimi Ni mwenyeji wa Mwanza kata ya Mabatini. Baada ya kujichanga nimefanikisha kuweka ka kiduku kangu.
Sasa shida imekuja kwenye swala la kuvuta umeme. Mimi pia ni mnufaika wa ile ofa ya ishirini na Saba lakini sasa toka nilipie mwezi wa kumi mwaka jana mpaka sasa sijapata umeme huo.
Hivyo nilikuwa naomba msaada kwa wanajanvi kama Kuna yeyote anaweza kunisaidia kuliondoa giza basi aje PM tuyajenge. Asanteni!..
Jambo nililotaka kuwaomba ni kuwa Mimi Ni mwenyeji wa Mwanza kata ya Mabatini. Baada ya kujichanga nimefanikisha kuweka ka kiduku kangu.
Sasa shida imekuja kwenye swala la kuvuta umeme. Mimi pia ni mnufaika wa ile ofa ya ishirini na Saba lakini sasa toka nilipie mwezi wa kumi mwaka jana mpaka sasa sijapata umeme huo.
Hivyo nilikuwa naomba msaada kwa wanajanvi kama Kuna yeyote anaweza kunisaidia kuliondoa giza basi aje PM tuyajenge. Asanteni!..