Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OS ni WINDOW XP,OS? Specs?
Window xp,
hizo ni dalili za kuchoka kwa drive hiyo...haswa kama ulikuwa unatumia sana scratched cd..
Solution yake nini sasa wakuu?inawezekana uliitumia sana kuchoma DVD hivyo inashindwa kusoma itakuwa imechoka hiyo
Habari wana Jf, Nina Lap top yangu haikubali kucheza DVD.CD inaonekana ila ukiifungua inaonyesha haina kitu.
kubadili drive!Solution yake nini sasa wakuu?
Mi nahitaji kusaidiwa. Natumia Nokia C 6-00. Line zote nikiweka napata mtandao. Tatizo naliwa airtime yangu.Ni tofauti nilipokuwa natumia modem unaweka 2500/- unatumia mwezi mzimahizo ni dalili za kuchoka kwa drive hiyo...haswa kama ulikuwa unatumia sana scratched cd..
DUH..mkuu hii nayo kali...kutoka kwenye DVD/CD ROM hadi kwenye simu!?? lah... anyway...cha kujiuliza hapo ni kuwa unajuinga na bundle kama unavyofanya kwenye modem? na pia unatumia kwa matumizi mengine hasa kupiga simu na message kwa salio hilohilo au? zaidi ya hapo mkuu wapigie simu customer care check nao!!!Mi nahitaji kusaidiwa. Natumia Nokia C 6-00. Line zote nikiweka napata mtandao. Tatizo naliwa airtime yangu.Ni tofauti nilipokuwa natumia modem unaweka 2500/- unatumia mwezi mzima