Pretty R.
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 200
- 31
Nimeitwa kwenye interview utumishi dar tarehe 30/12 kama kuna wenzangu humu mlioitwa kama mimi tutafutane mapema. Pia humu kuna wazoefu na waliopo makazini tayari mnisaidie possible zitakazokuwepo kwenye interview.
Natanguliza shukrani kwa michango ambayo mtanipatia.
Natanguliza shukrani kwa michango ambayo mtanipatia.