Msaada wakuu

Julius Kaisari

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
1,176
675
Heshima zenu!
Mwenye ujuzi anisaidie,nina mashine yangu ya Samsung Galaxy tab GT P1000. Nilinunua brand new.katika kutaka kuifaidi,nilikuwa nikidownload masoftware from markets ya android,hatimaye ikaanza kuleta mazingaombwe ya kustuck na inaclose open application zote.niliamua kufuta vyote nilivyoinstall,kwa ku-reset(factory reset). Baada ya hapo speed ya internet imekuwa slow sana na sometym inadisplay failed to comnunicate to server. Je nifanyeje?
Nitashukuru kwa msaada.
 
Heshima zenu!
Mwenye ujuzi anisaidie,nina mashine yangu ya Samsung Galaxy tab GT P1000. Nilinunua brand new.katika kutaka kuifaidi,nilikuwa nikidownload masoftware from markets ya android,hatimaye ikaanza kuleta mazingaombwe ya kustuck na inaclose open application zote.niliamua kufuta vyote nilivyoinstall,kwa ku-reset(factory reset). Baada ya hapo speed ya internet imekuwa slow sana na sometym inadisplay failed to comnunicate to server. Je nifanyeje?
Nitashukuru kwa msaada.
kama bado inatumia Firmware v2.2 fanya upgrade to v2.3.3 Gingerbread, itaondoa bugs na kuiweka ktk hali nzuri zaidi....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom