Msaada wakuu: Uvimbe kwenye kizazi

nsharighe

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
1,439
2,211
Poleni Sana kwa majukumu ya kujenga Taifa..

Mzazi wangu Wa kike (Mama) umri kiaka 50s anasumbuliwa na uvimbe kwenye kizazi according to vipimo vya madakari.

Aliandikiwa dawa na anakaribia kuzimaliza, hofu ni kwamba tumbo lake linavimba na anasikia vichomi.

Nawaomba wakuu, Mnipe ushauri Wa kidaktari juu ya nini kifanyike kwa hali Kama hii..

Mungu awe nanyi
 
Mpo wapi, ushauri wangu apelekwe hospitali kubwa kama Muhimbili au hospitali atakayoweza kufanyiwa gynae-ultrasound, majibu apelekewe daktari bingwa wa maswala ya uzazi, aaumue cha kufanya.
 
Mpo wapi, ushauri wangu apelekwe hospitali kubwa kama Muhimbili au hospitali atakayoweza kufanyiwa gynae-ultrasound, majibu apelekewe daktari bingwa wa maswala ya uzazi, aaumue cha kufanya.
Nashukuru Sana kiongozi, tupo Dar na nitafanyia kazi ushauri wako
 
Poleni Sana kwa majukumu ya kujenga Taifa..

Mzazi wangu Wa kike (Mama) umri kiaka 50s anasumbuliwa na uvimbe kwenye kizazi according to vipimo vya madakari.

Aliandikiwa dawa na anakaribia kuzimaliza, hofu ni kwamba tumbo lake linavimba na anasikia vichomi.

Nawaomba wakuu, Mnipe ushauri Wa kidaktari juu ya nini kifanyike kwa hali Kama hii..

Mungu awe nanyi
Ukimpeleka Hospitali akitibiwa na hajapona nitafute mimi nipate kumtibia apate kupona.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +44-7459-370-172 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom