Msaada wakuu sijaziona siku zangu huu mwezi wa saba sasa

mnadhimu mkuu wa jf

JF-Expert Member
Mar 19, 2017
754
272
Habari zenu wakuu,

Kama nilivyojieleza hapo juu kuna dada yangu mmoja ana hilo tatizo na hilo limeanza baada ya kuacha kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kabla alikuwa yupo sawa sawa na akafanikiwa kupata mtoto mmoja akiwa hajaolewa baada ya hapo akaanza kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa miaka mitano ndipo kapata bwana hatimaye kaolewa na akaacha kutumia vidonge maana anahitaji kumzalia mmewe mtoto sasa tangu aache huu ni mwezi wa saba mfululizo hajawahi ona siku zake hata mara moja je tatizo laweza kuwa nini? Msaada tafadhalini.....
 
Pengine mwili ulishauzoeshea kutofanya menstruation cycle. C unajua mwili wa binadamu ni automatically unajiendesha wenyewe, pengine unajiupdate kwanza urudi km ZAMANI. Ngoja waje wataalamu
 
Hiyo nadhani imesababishwa na hayo madawa ya uzazi wa mpango..Tafuta daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake akusaidie
 
Habari zenu wakuu,

Kama nilivyojieleza hapo juu kuna dada yangu mmoja ana hilo tatizo na hilo limeanza baada ya kuacha kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kabla alikuwa yupo sawa sawa na akafanikiwa kupata mtoto mmoja akiwa hajaolewa baada ya hapo akaanza kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa miaka mitano ndipo kapata bwana hatimaye kaolewa na akaacha kutumia vidonge maana anahitaji kumzalia mmewe mtoto sasa tangu aache huu ni mwezi wa saba mfululizo hajawahi ona siku zake hata mara moja je tatizo laweza kuwa nini? Msaada tafadhalini.....
 
Habari zenu wakuu,

Kama nilivyojieleza hapo juu kuna dada yangu mmoja ana hilo tatizo na hilo limeanza baada ya kuacha kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kabla alikuwa yupo sawa sawa na akafanikiwa kupata mtoto mmoja akiwa hajaolewa baada ya hapo akaanza kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa miaka mitano ndipo kapata bwana hatimaye kaolewa na akaacha kutumia vidonge maana anahitaji kumzalia mmewe mtoto sasa tangu aache huu ni mwezi wa saba mfululizo hajawahi ona siku zake hata mara moja je tatizo laweza kuwa nini? Msaada tafadhalini.....
Nenda hospitali ukawaone madaktari wa wanawake watakusaidia.
 
hiyo ni effect ya hizo dawa. navojua contraceptives huwa zinacheza na hormones. na umesema katumia kwa miaka mitano itachukua mda mrefu kwa mwili kurudi hali ya awali. mwambie aende hospitali lakini
 
Dah Kwa ushauri wangu acheni miili yenu iwe natural acheni hizo dawa za uzazi wa mpango. Sikuhizi wanaopata matafizo ya uzazi kwa case hiyo wameongezeka sana.
 
Back
Top Bottom