white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,279
kuna rafiki yangu,ameniuliza,yeye alifanya mtihani wa form 6 mala mbili,mala ya kwanza alifanya masomo yote 4(arts)akapata principle 1, na subsidiary 3 mwaka unaofata akarudia tena mtihani,akafanya masomo 3,akapata zote principles,na akafanikiwa kujiunga na elimu ya juu,sasa anauliza je akitaka hayo matokeo yake(kwani ana vyeti 2)anaweza akaenda baraza la mitihani wakamtengenezea cheti kimoja chenye matokeo hayo?kuliko kuwa na vyeti 2