Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,764
- 20,153
Nilikuwa sijuwi lakini Karoti kwamujibu waDoctor Sebi Karoti ina asidi nyingi na imetngenezwa na binadamu sio Mungu. Karoti haiwezi kukusaidia kukutibu maradhi ya macho hataule karoti kilo moja kila siku haitoweza kukutibu maradhi ya macho. Karoti ina madini mengi ya wanga na madini ya wanga aka ( starch) kwa binadamu hayafai kiafya.
Dr Sebi: Why No Spinach, No Tofu, No Carrot: KAROTI NA MCHICHA ZINA ASIDI NYINGI NA ZINA MADINI YA WANGA HAZIFAI KULIWA NA BINADAMU
Sawa mkuu