Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,231
Salam.
Kwa anayejua tafadhali anisaidie kujibu yafuatayo.
✓Je, ni lazima uwe mfanyakazi au mwajiriwa ndio usome course (training) zao?
✓ Kwa graduate akitaka kupata hayo mafunzo kuna qualifications itahitajika uweze kusoma (kupata hayo mafunzo)
✓Vipi wanatoa any valid certificate pale utakapomaliza hayo mafunzo?
✓Last but not list, upatikanaji wa fursa je? unapangiwa na serikali au ni juhudi zako binafsi kupata sehemu (industries) kusimamia.
Ni hayo tu Wakuu nahitaji kujua.
Aksante.
Kwa anayejua tafadhali anisaidie kujibu yafuatayo.
✓Je, ni lazima uwe mfanyakazi au mwajiriwa ndio usome course (training) zao?
✓ Kwa graduate akitaka kupata hayo mafunzo kuna qualifications itahitajika uweze kusoma (kupata hayo mafunzo)
✓Vipi wanatoa any valid certificate pale utakapomaliza hayo mafunzo?
✓Last but not list, upatikanaji wa fursa je? unapangiwa na serikali au ni juhudi zako binafsi kupata sehemu (industries) kusimamia.
Ni hayo tu Wakuu nahitaji kujua.
Aksante.