Nawatakia kila jema wakuu, tuna kuku wa nyama hapa bunju wako na umri wa wiki tano saa tunatafuta wateja kwa bei ya 6000 mpaka 5800. Kuku wapo 450.View attachment 943742View attachment 943743View attachment 943744
Asante ndugu yangu kuna mteja alikua ikichukua kwa sasa anadharura hafanyi kazi bahati mbaya sikua na mteja mwingine.Tafuta tenda kwenye mahotel,shule..wauza chips na migahawa
Ukipata order fanyia kazi
Usisahau watu wa huduma ya catering
Kila wiki kuku kibao wanapika
Ni kweli mkuu sasa hivi wanakula faida ila si muda mrefu watakula mtaji sasa, kuna mtu nilikua namtegemea ila alipata dharura hafanyi biashara sasa ndio maana imetokea hivyo.Kuku wakiwa na wiki 3 tu anza kutafuta mteja au hata Dalali kama ana bei nzur vingnevyo watakula faida ndugu na hatimae mtaji
Aisee polee sanaa...Ni kweli mkuu sasa hivi wanakula faida ila si muda mrefu watakula mtaji sasa, kuna mtu nilikua namtegemea ila alipata dharura hafanyi biashara sasa ndio maana imetokea hivyo.