tata mvoni
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 534
- 81
Habari zenu wana~jamvi,kuna dogo hapa kachaguliwa kusoma UDSM,B.A.in Statistics mkopo kapewa 2.83Milioni,sasa naomba anayejua kuhusu haya yafuatayo anijuze ili nijue jinsi ya kumsaidia.1)Siku za kusoma kwa semester zote mbili ni ngapi?.2)Naomba orodha ya Fuculty requirement.3)Ada ya kulala Hostel iwe Mabibo au Main Campus huwa ni shiling ngapi kwa siku?.4)Chakula huwa kinapatikana kuanzia cha Shilingi ngapi?.Nawaombeni sana kwa mwenye taarifa hizo ili nifanye mchanganuo then nimwongezee kiasi gani kwa ajili ya ktmpa peace of mind awapo chuoni.NATANGULIZA SHUKRANI