nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Ndugu zangu kitambulisho cha NIDA nilihangaika hakieleweki hadi leo,nimechoka na hii serikali ya kutishanatishana kila wakati
Kuna uwezekano wa kutumia line ya safaricom Tanzania niombe jamaa zangu wa nairobi wanitumie?
Kuna uwezekano wa kutumia line ya safaricom Tanzania niombe jamaa zangu wa nairobi wanitumie?