Nrangoo
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 3,352
- 5,247
Sawa kiongozi! Hope tutapata msaadaNami sifahamu ndio maana nikaandika inabidi tujue namna ya kutambua .
Sawa kiongozi! Hope tutapata msaadaNami sifahamu ndio maana nikaandika inabidi tujue namna ya kutambua .
Nina ushahidi wa nyumba mbili tuliotumia dizeli kwa zaidi ya miaka kumi hazijaguswa na mdudu yeyote mpaka leo.JARIBUNI !
Wadau jibu kamili halikupatikana?Je kwa mbao ambazo tayari zimeshaliwa mdudu ameshaingia... tiba ni nini?
-Kaveli-
Hata kama zimeliwa tayar suruhisho ni hiyo hiyo diesel wadudu aiza watakimbia au watakufa humo humo ndani kwa kukosa hewa baada ya kupaka diesel coz nina ushahidi na hicho kitu...ilikuwa kwenye mbao za sofa zile nyepesi kila niki amka asubuhi nakuta vumbi la mbao chini kumbe wadudu wanachakata mbao tu ila nilipo apply diesel siku ona tena wale wadudu.Wadau jibu kamili halikupatikana?
Mkuu kupaka oil kwenye paa lililokwisha kuezekwa ni mziki mnene.Engine oil iliyotumika,inaweza kuwa suluhisho kwa tatizo lako,inavyoonesha ulitumia mbao ambazo huwa wanasema ni treated lakini mbao hizo haziwi treated ipasavyo.cha kufanya chukua oil chafu na brash ya rangi,paka kwenye mbao kama vile unavyopaka rangi hakikisha pia unanyunyiza kwenye matundu,itasaidia sana.oil chafu hukimbiza hata nyoka!
Mkuu siyo kila oil chafu ni muarobaini wa mchwa.Mkuu tafuta oil chafu na upakae hzo mbao na enjoy life
Diesel unapaka kwenye sofa ndani au unafanyaje mkuu?Hata kama zimeliwa tayar suruhisho ni hiyo hiyo diesel wadudu aiza watakimbia au watakufa humo humo ndani kwa kukosa hewa baada ya kupaka diesel coz nina ushahidi na hicho kitu...ilikuwa kwenye mbao za sofa zile nyepesi kila niki amka asubuhi nakuta vumbi la mbao chini kumbe wadudu wanachakata mbao tu ila nilipo apply diesel siku ona tena wale wadudu.
libadili kwanza uweke jipya lisije likakutoa roho mkuu.Wakuu shikamoni,
Paa la nyumba yangu limeliwa vibaya na wadudu ambao siwafahamu, siyo mchwa, wako kama mende weusi wembamba kidogo kwa mende, wanapokuwa kwenye mbao wanakuwa viwavi (caterpilar) wanakula mbao ndani kwa ndani huku wakiacha matundu kama yanavyoonekana kwenye picha.
Wakishakula ndio wanageuka kuwa kama mende. wakila mbao inakuwa kama bua la muhindi yaani ndani ni hollow na linatoa unga wa njano.
Hawa wadudu wanakula mbao nzima na kuiacha kama unga wa njano.
Nimejaribu kupulizia dawa tofauti tofauti nilizokuwa napewa na wauzaji wa maduka ya pembejeo lakini haijasaidia, nimeona nijaribu hapa labda kuna mtu ameshakutana na kesi kama yangu anaweza akanipa uzoefu.
Hawa wadudu wanapokula mbao inalia kama msumeno unakata mbao.
View attachment 230852
View attachment 230853
Ulipata suluhisho nduguNami kuna wadudu flan wanakula mbao za dari hatari japo nilinunua ambazo ziko treated, unacheki unga unamwagika tu na wanasikika wanapokuwa wanatafuna ndani kwa ndani, mpaka kero, mwenye ushauri tafadhali.
Mkuu nahitaji unipe beiHuyo anayesumbuliwa na mchwa kazi anayo
1. inabidi pesa imtoke hasa kufanys termite treatment.
2. mbao zote zipkwe dawa upya huko darini.
3. Nyumba yote ichimbwe mtaro ķuizunguka na dawa iwekwe.
4. kama milango nayo yaliwa matundu ya driliwe na dawa iwekwe
5.Ukitaka quotation kazi utáfanyiwa
Huwezi unguza nyumba?Engine oil iliyotumika, inaweza kuwa suluhisho kwa tatizo lako, inavyoonesha ulitumia mbao ambazo huwa wanasema ni treated lakini mbao hizo haziwi treated ipasavyo. Cha kufanya chukua oil chafu na brash ya rangi, paka kwenye mbao kama vile unavyopaka rangi hakikisha pia unanyunyiza kwenye matundu, itasaidia sana. Oil chafu hukimbiza hata nyoka!
Samahani mkuu vipi oil chafu ilisaidia tatizo lako? Kuna ndugu yangu name anatatizo Hilo.Wakuu nashukuruni kwa ushauri, nitaufanyia kazi
Dko 30 inatumikaje? Niyakupaka?Dragnet inatoka marekani...ni ngumu kuipata ajaribu DKO 30 c ipo kwenye hardware ni uhakika