Msaada wadau, virus aina heroset ameminya files

Kifimboplayer

JF-Expert Member
Nov 24, 2013
1,542
716
Habari wadau wa jukwaa hili pendwa.

Nimekuja kwenu kuomba msaada ni namna gani naweza kurudishia files zangu zilizokuwa affected na virus aitwae helroset. Huyu virus aliingia kwa njia mtandao nilipokuwa na download program.

Mwanzo nilichukulia ni tatizo la kawaida nikidhani naweza kupiga window na tatizo litakwisha kwa sababu files nimetunza (partition) local disk d, lakini hata baada kupiga Windows nyingine tatizo liko palepale kilichobadilika ni icon na file hazifunguki.

Ni imani yangu kwamba kupitia jukwaa hili kuna wataalam walishakutana na tatizo kama hili, kupitia kwao naomba msaada.
 
Habari wadau wa jukwaa hili pendwa.

Nimekuja kwenu kuomba msaada ni namna gani naweza kurudishia files zangu zilizokuwa affected na virus aitwae helroset. Huyu virus aliingia kwa njia mtandao nilipokuwa na download program.

Mwanzo nilichukulia ni tatizo la kawaida nikidhani naweza kupiga window na tatizo litakwisha kwa sababu files nimetunza (partition) local disk d, lakini hata baada kupiga Windows nyingine tatizo liko palepale kilichobadilika ni icon na file hazifunguki.

Ni imani yangu kwamba kupitia jukwaa hili kuna wataalam walishakutana na tatizo kama hili, kupitia kwao naomba msaada.
Hawa heroset ni cryptovirus wanapoaffect file hawaondolewi na antivirus kwani antivirus haidecrypt file na sio kazi yake

Una option ifuatayo.
Tumia decryption tool kudecrypt file zako ambazo ni encrypted hii unaweza nunua maana za free version Zina mapungufu hasa kwenye file zilizo affectiwa na cryptovirus walio tengenezwa na algorithm kubwa kama rsa au aes.
Test hii tool unaweza download na Kisha extract then install Kisha scan PC yako na ita decrypt file zote zitasoma Kama Kawa but note Kama ikishindikana Kufanya hivyo kwa 100% basi nunua full version au tafuta cracked
Quick heal
Note:
ukipiga window bila kuweka partition yoyote kwa mara ya kwanza yaani full disk au unaformat yote utawaondoa na unaweza tengeneza partition mpya.
Ila file zako huzipati Tena hata ukitumia recovery software
Issue ni kuwa makini unapodownload file

Pia jaribu kuangalia ile file ulodownload utakuta lina extension ya herosite.
 
Hawa heroset ni cryptovirus wanapoaffect file hawaondolewi na antivirus kwani antivirus haidecrypt file na sio kazi yake

Una option ifuatayo.
Tumia decryption tool kudecrypt file zako ambazo ni encrypted hii unaweza nunua maana za free version Zina mapungufu hasa kwenye file zilizo affectiwa na cryptovirus walio tengenezwa na algorithm kubwa kama rsa au aes.
Test hii tool unaweza download na Kisha extract then install Kisha scan PC yako na ita decrypt file zote zitasoma Kama Kawa but note Kama ikishindikana Kufanya hivyo kwa 100% basi nunua full version au tafuta cracked
Quick heal
Note:
ukipiga window bila kuweka partition yoyote kwa mara ya kwanza yaani full disk au unaformat yote utawaondoa na unaweza tengeneza partition mpya.
Ila file zako huzipati Tena hata ukitumia recovery software
Issue ni kuwa makini unapodownload file

Pia jaribu kuangalia ile file ulodownload utakuta lina extension ya herosite.
@mathsjery nimefanikiwa kuidownload ila iko zipped
nitumie program gani kuinstall


msaada tafadhari
 
@mathsjery nimefanikiwa kuidownload ila iko zipped
nitumie program gani kuinstall


msaada tafadhari
Tumia WinRAR
 
Hata mm pia PC yangu ilishambuliwa na .norvas mwaka huu nimejaribu njia zote kwa watu wote nimeshindwa... Pia niliandika uzi huku ila sikupata msaada. Hapo ishu ni kufuta yote na kuanza upya
 
Hata mm pia PC yangu ilishambuliwa na .norvas mwaka huu nimejaribu njia zote kwa watu wote nimeshindwa... Pia niliandika uzi huku ila sikupata msaada. Hapo ishu ni kufuta yote na kuanza upya
Si kweli, hiyo ni Kama huwezi afford bei ya decryption software/tool pia ukiwa na ujuzi mzuri wa kutumia tool kufanya decryption Ni simple
 
decryption software ni 1000 $ ,it is unfair price
Ni kweli but nimetoa software hapo kwa link baadae ntatuma complete decryption tool haya ma ransomware yanatoka simple mno anaweza jaribu McAfee ransomware decryption tool iko poa lakini atatakiwa Kufanya some command mbali na ile ya kwanza hata hivyo unaweza ipata kwenye site ya McAfee maana mambo Ni mengi
 
Ni kweli but nimetoa software hapo kwa link baadae ntatuma complete decryption tool haya ma ransomware yanatoka simple mno anaweza jaribu McAfee ransomware decryption tool iko poa lakini atatakiwa Kufanya some command mbali na ile ya kwanza hata hivyo unaweza ipata kwenye site ya McAfee maana mambo Ni mengi


Mkuu mbona kama unaelekea elekea aise,umeanza kunipa hope,hizo software bado sijazi access hapa maana natumia sim vp ni za kulipia online ? Na vipi accuracy yake katika kufanya kazi isije kuwa 50/50
 
Tumia WinRAR
please run application as administrator imeniletea ujumbe huo
mkuu inawezekana mlolongo wake ukawa mrefu?
 
Mkuu mbona kama unaelekea elekea aise,umeanza kunipa hope,hizo software bado sijazi access hapa maana natumia sim vp ni za kulipia online ? Na vipi accuracy yake katika kufanya kazi isije kuwa 50/50
Ndio zipo za kulipia ila hiyo ya McAfee Ni free, kuhusu accuracy iko fresh kwani Kama haukuzifuta data zilizo affectiwa all will be decrypted through scanning but also hii McAfee kuwa mjuzi kidogo wa command.
Mbali na ile ya quick heal
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom