Wanajamvini naomba msaada kwa anayejua . nina karatasi yangu muhimu nimekosea kuandika nilipenda kuifuta ili niandike tena. wenzangu hapa ofisini wamenishauri baadhi ya dawa kama nail remover , tina lakini naona zinazidi kuchafua. sasa masaada kwa anayejua. anishauri