Omba mtaji, wewe tafuta sehemu ya kujibanza, kisha njoo tusaidiane kuuza kashata Na kahawa, baada ya mwezi utaweza kuntanyuka tenaHabari zenu watanzania wenzangu!!
Naitaji elf 90 niweze kulipia kodi ya nyumba, kwa atakayeguswa,naomba ani PM nimpe mawasiliano yangu,anikopeshe hata kama nikwa riba,nipo serious wadau
Ile pikipiki unayouza Geita umeihamishia Arusha nayo?..Arusha mkuu
Umenipa Wazo Troll JFDaah unanikumbusha nilivyokua nalipa 350,000/= Kodi ya nyumba kwa mwezi halafu landlord anataka miezi 6 nilihamia kwenye Nyumba yangu kabla hata ya kuweka umeme na maji
Hakika mkuu na unaweza nenepa ghaflaMkuu kwako unaweza kulala hata madirisha yakiwa na nondo tuu!!!
haha utakuwa muhaya sio bureDaah unanikumbusha nilivyokua nalipa 350,000/= Kodi ya nyumba kwa mwezi halafu landlord anataka miezi 6 nilihamia kwenye Nyumba yangu kabla hata ya kuweka umeme na maji
Kabisa yaani,nilinenepa kwenye nyumba isyokua na maji,ceilling board,lipu nje na ndani,sakafu.yaani kiufupi pagale.hakuna raha kama uhuru na amani ya moyoHakika mkuu na unaweza nenepa ghafla
Kumbe tuko wengi asee. Mi nimehamia hata choo hakijakamilika. Nikachimba shimo nje nikaweka matairi ya magari... nikazungushia makuti mambo yakanyooka...Daah unanikumbusha nilivyokua nalipa 350,000/= Kodi ya nyumba kwa mwezi halafu landlord anataka miezi 6 nilihamia kwenye Nyumba yangu kabla hata ya kuweka umeme na maji
Yeah... asubuhi unapishana na mapaka tu ndani.Mkuu kwako unaweza kulala hata madirisha yakiwa na nondo tuu!!!
Jf bana umeshataka mke?Wewe ni ke au me