Ndugu habarini za asubuhi, naomba kueleweshwa kwa wale waliokwisha kuhitimu chuo kikuu, eti G.P.A ya mwisho wanachukua ile ya semister ya mwisho ya mwaka wako wa mwisho au wanachukua jumla ya ufaulu (G.P.A) ulizopata tangu first year nakuzijumlisha kisha wakagawa kwa idadi ili wapate mean av. Ya G.P.A ya jumla kwa miaka yote 3?