Bro lkn walisema admission letters watazitoa kweny account ila hd sasa hiv bd.cijui vipi hawa watuThen no worry hapo unachotakiwa ni kuprint admissions letter basi aende shule,, kuwa kwenye list sio muhimu ila kuwa kwenye database ndo muhimu
Bro lkn walisema admission letters watazitoa kweny account ila hd sasa hiv bd.cijui vipi hawa watu
Poa bro shukran sanaWatatoa tu ata wakifika chuo ushahidi ndo huo
Aina kweree broatajiongeza mpe fursa
Ushauri mabibi na mwabwaa nilikuw ninaomba ushauri mm n mwanzafunzi niliyemaliza form iv mwaka juzi ila niliapply vyuo viwili ambacho n chuo cha ardhi cha morogoro kwa koz ya geomatics ila wameniambia hii koz imejaa ipo ya urban and reginal planning ndio mpya wamesem ndio naweza kusoma hivyo hivy pia niliapply ten chuo cha udom kwa koz ya ICT nimeshaguliwa pia kusoma,sasa wandugu naombeni ushauri niende koz ya mipango miji au ICT.
Certainty broTechnology is the future , it is one of area where employment opportunities are growing exponentially , it is expected by the year 2020 to increase even more it pays well and is the only field which has higher career satisfaction , one thing you need to ask yourself are you really interested to pursue career in technology , bacause technology changes everyday , so one need to keep himself updated everyday with new technology and trends being invented everyday, it is very painful if you are only after money then you have to bear the burden of learning non stop , also you need to master the skills otherwise you may end up home with your certificate on your hand because this field is all about skills not how well you have performed academically
Kwan hyo coz inapatkan chuo kimoja tu?Nilikuwa natak kupiga geomatics jombaa cc wameniambia imejajaaa