Msaada wadau, huyu demu nimemwambia aje geto mwenyewe kaja na rafiki yake

Waziri wa Kaskazini

JF-Expert Member
Dec 12, 2015
6,968
14,714
Nimeshindwa kabisa kujua nn cha kufanya, isitoshe nina upunguvu mkubwa sana nguvu za kiume yaani nikiingiza tu namwanga halafu siwezi tena kuendelea na show, just imagine hawa mademu wote wamekuja skani na sina namna, nimekaa tu stoo sijui nn cha kufanya, altenative way niliyo nayo nikuruka ukuta bila kupitia getini wasijue nilipo elekea.... Nimekaa tu stoo wakuu huyu demu kanitumia hii picha through WhatsApp....

Wadau ulisha pitia situation kama hii ulichomokaje, infact sina nguvu za kusukuma hizi machine zote, ushauri wenu ni muhimu sana kabla sijafanya maamuzi magumu..... Isitoshe nipo Kigali Rwanda kwa mama yangu..... Any advice please
52822566_436652513764766_1154210729235054592_n.jpg
 
Mkuu kwa kua umesema upo Kigali kwa mama yako basi kwa heshima na taadhima mi naomba tu unitumie namba ya mama yako.

Maendeleo hayana chama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom