Msaada wadau: Gesti nzuri maeneo ya Tengeru/Usa river.

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,685
22,694
Habari wadau wa JF hasa ndugu zangu wa Arusha.

Nina ugeni siku chache zijazo wa wiki nzima na kutokana na eneo la kazi na kufanikisha mipango yao ningeomba kuzitambua nyumba nzuri za wageni kwa maeneo tajwa hapo juu Tengeru/Usa river pamoja na makadirio ya gharama kama inawezekana.

Nikipata hata anuani ama namba za simu za wahusika nitashukuru sana.

Nategemea iwe ni sehemu ya kistaarabu bila kujali gharama.
 
Mkuu hayo maeneo kuna Guest kuanzia za sh 5,000 na kuendelea hadi zaidi ya 100,000/day, ww budget yako ikoje,
Gharama siyo ishu kaka, please kama unaweza kunitajia jina la hiyo nyumba ya wageni na mahali ilipo. Asante
 
mpigie huyu hapa atakusaidia sana
0763 59 60 36
0688 98 01 02
Ila usimpe hela yoyote kwamba akalipie, utalipia mwenyewe yeye akuambie tu hizo guest basi
 
Habari wadau wa JF hasa ndugu zangu wa Arusha.

Nina ugeni siku chache zijazo wa wiki nzima na kutokana na eneo la kazi na kufanikisha mipango yao ningeomba kuzitambua nyumba nzuri za wageni kwa maeneo tajwa hapo juu Tengeru/Usa river pamoja na makadirio ya gharama kama inawezekana.

Nikipata hata anuani ama namba za simu za wahusika nitashukuru sana.

Nategemea iwe ni sehemu ya kistaarabu bila kujali gharama.
Kwanini uchoshe wageni wako kwa kuwalaza nje ya mji wakati usafiri kati ya Tengeru na mjini upo wa kuaminika? Wapangishie wageni wako Makao mapya au Kaloleni
 
Kwanini uchoshe wageni wako kwa kuwalaza nje ya mji wakati usafiri kati ya Tengeru na mjini upo wa kuaminika? Wapangishie wageni wako Makao mapya au Kaloleni
Mkuu nashukuru kwa ushauri wako lakini kama umenisoma vizuri katika maelezo ni kwamba maeneo hayo ndio rahisi kwa wao kufanikisha majukumu yao kiwepesi.

Ingekuwa mjini nisingeleta huu uzi hapa maana nina exposure ya kutosha . Asante
 
Habari wadau wa JF hasa ndugu zangu wa Arusha.

Nina ugeni siku chache zijazo wa wiki nzima na kutokana na eneo la kazi na kufanikisha mipango yao ningeomba kuzitambua nyumba nzuri za wageni kwa maeneo tajwa hapo juu Tengeru/Usa river pamoja na makadirio ya gharama kama inawezekana.

Nikipata hata anuani ama namba za simu za wahusika nitashukuru sana.

Nategemea iwe ni sehemu ya kistaarabu bila kujali gharama.
Mkuu Tengeru kuna Triple K, ina viwango
 
Back
Top Bottom