Wakuu naomba kupata wazo la kufanya biashara zaidi ya moja wakati nikiwa kwenye kaduka kangu.
Nilianza udalali wa magari na viwanja ila nilkkosa network, pia ninayo Gari ndogo raumu ila nakuja nayo Kwenye duka langu narudi, siyo mbali na nyumbani, sasa shida inakuja ni kuwa kipato Ninachokipata ni kidogo.
Niliwaza kusambaza mayai ila bado niliona gharama kusambaza kwa gari. Mimi nipo Dar wakuu, naombeni sana sana ndugu zangu nisaidieni wazo, nitashukuru sana kama mtanisaidia.
Nilianza udalali wa magari na viwanja ila nilkkosa network, pia ninayo Gari ndogo raumu ila nakuja nayo Kwenye duka langu narudi, siyo mbali na nyumbani, sasa shida inakuja ni kuwa kipato Ninachokipata ni kidogo.
Niliwaza kusambaza mayai ila bado niliona gharama kusambaza kwa gari. Mimi nipo Dar wakuu, naombeni sana sana ndugu zangu nisaidieni wazo, nitashukuru sana kama mtanisaidia.