kindikinyer leborosier
JF-Expert Member
- Jan 6, 2018
- 430
- 780
asaalam wana jamii.
nina dada yake na rafiki yangu anasumbuliwa na ugonjwa wa ajabu kidogo.
anavyotuambia mwili wake mzima unakuwa kama unaungua moto, hasa miguu mpaka sehemu za siri na makalio, kiasi kwamba anajiloweka kwenye maji tuu na kulala kwenye fan ili walau apate afadhali.
mwisho akaanza kupata madonda kwenye makalio na hatimae miguu kubadili rangi, sehemu za uke pameharibika sana, pamevimba na kubadili rangi na kuwa peupe.
anateseka sana amepelekwa hospitali kadhaa anaambiwa ugonjwa hauonekani, mpaka ikabidi waanze kutumia mbinu za maombi, kuna kipindi alipandisha majini yakasema yametumwa na baba falani aliekuwa amempangishia nyumba kipindi anafanya kazi! lakini ameombewa bado hajapata afadhali!
msaada ndugu zangu! naamini walau tunaweza pata pa kuanzia hata kwa mawazo
nina dada yake na rafiki yangu anasumbuliwa na ugonjwa wa ajabu kidogo.
anavyotuambia mwili wake mzima unakuwa kama unaungua moto, hasa miguu mpaka sehemu za siri na makalio, kiasi kwamba anajiloweka kwenye maji tuu na kulala kwenye fan ili walau apate afadhali.
mwisho akaanza kupata madonda kwenye makalio na hatimae miguu kubadili rangi, sehemu za uke pameharibika sana, pamevimba na kubadili rangi na kuwa peupe.
anateseka sana amepelekwa hospitali kadhaa anaambiwa ugonjwa hauonekani, mpaka ikabidi waanze kutumia mbinu za maombi, kuna kipindi alipandisha majini yakasema yametumwa na baba falani aliekuwa amempangishia nyumba kipindi anafanya kazi! lakini ameombewa bado hajapata afadhali!
msaada ndugu zangu! naamini walau tunaweza pata pa kuanzia hata kwa mawazo