Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
... nyie mnamshauri kuhama, hilo ni suluhisho moja wapo tu, je mkewe atamwambia sababu gani wanahama? ...unadhani wanaweza kuhama bure bure tu bila huyo shoga wa mkewe hajatia tifu fulani humo? itawezekana vipi wahamie huko makao mapya bila shoga-jirani kupajua?
Njia sahihi ya kukabiliana na tatizo, apambane nalo uso kwa uso, sio kulikimbia, kwani tatizo ni kama kivuli, yeye mbele tatizo linamfuata nyuma...!
Nachelea kumwambia huyu mheshimiwa, akiendelea kulichezea hili tatizo kwenye tundu la choo, atakuja vishwa utungo kiunoni na mwenye mali halafu afanyiwe kitu mbaya...
Mke wa mtu sumu, ohoo...!
Njia sahihi ya kukabiliana na tatizo, apambane nalo uso kwa uso, sio kulikimbia, kwani tatizo ni kama kivuli, yeye mbele tatizo linamfuata nyuma...!
Nachelea kumwambia huyu mheshimiwa, akiendelea kulichezea hili tatizo kwenye tundu la choo, atakuja vishwa utungo kiunoni na mwenye mali halafu afanyiwe kitu mbaya...
Mke wa mtu sumu, ohoo...!