BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 910
- 2,164
Nilikuwa nadate na mdada flan....kwakweli maisha ndo kwanza nmeanza....lakini katika mazingira ya ajabu akanitegeshea mimba.
Nami nkampa ukweli kuwa sipo tyari kuwa mzazi na pia majukum hayo kwakweli siyawezi kwa mda huu.
Tukakubaliana itolewe....nkamtumia pesa...akaenda kwa dokta(kwa maelezo yake)...akanitumia text kuwa tyr ameshatoa...!!
Kukatokea kutoelewana baadae nkamkaushia....kisha nikatongoza mdada mwngne....sasa yule wa zman kajua...kamtishia yule mdada kuwa aachane na mimi....yule mdada mpya akakataa.
Sasa hivi yule girl wa zman ananambia kuwa ana mimba yngu....ile alonambia kuwa ameitoa...!!
Simuelewi...naomben msaada wa mawazo maana kwakweli kanivuruga.
Nami nkampa ukweli kuwa sipo tyari kuwa mzazi na pia majukum hayo kwakweli siyawezi kwa mda huu.
Tukakubaliana itolewe....nkamtumia pesa...akaenda kwa dokta(kwa maelezo yake)...akanitumia text kuwa tyr ameshatoa...!!
Kukatokea kutoelewana baadae nkamkaushia....kisha nikatongoza mdada mwngne....sasa yule wa zman kajua...kamtishia yule mdada kuwa aachane na mimi....yule mdada mpya akakataa.
Sasa hivi yule girl wa zman ananambia kuwa ana mimba yngu....ile alonambia kuwa ameitoa...!!
Simuelewi...naomben msaada wa mawazo maana kwakweli kanivuruga.