Msaada wa ushauri wazoefu kazini...

migo232

Member
Jul 29, 2018
7
0
Heshima yenu wadau wa jamvini ..

Kuna suala moja mtu wangu wa karibu kanisshirikisha nikaw njiapanda kutoa ushauri......
Ni kwamba jamaa alihitimu dip ya Education miaka kadhaa ilopita akaajiriwa sehem fulan mwez wa kwanza, ilipofika mwezi wa kumi na moja the same year akajiunga university bila ruhusa. Akiwa chuo ule mwez wa kwanza mkopo wa chuo ulichelewa .....watu wakamshauri akachukua loan taasis flan
kama 5m baadaye salary Ikakatwa.Kaendelea kupiiga buku kamaliza..Baadaye kaomba ajira mpya kwa gamba la degree bila diploma sehem tofaut akafanikiwa hakujulikana.Kakaa now miaka mitatu kuna majina flan yamekuj kituon mwaka huu system ikamtambua ana sifa ya diploma na aliwah kuwa kituo flan ,, ambayo yeye hakuitumia kuomba ajira mpya na ikawa ni lazima kujaza sifa ya degree,.

Sasa hofu ni kwamba
1.Kuna uwezekano wa kurudishwa kituo cha kwanza?
2.Je lile deni alilipa nani ??? na riba za hz taasis ndogo ni kubwa balaaa
acje akawa ni hewa akaambiwa anadaiwa kama 25m ..Na kuna uhakiki uliondoa wasokuwepo kazini akiwa shule

3.Afanyaje maana nahuku alijisahau akakopa ana deni kama 2m hivii
4.Na je akirudishwa kule si inaweza kuwa balaa kwa mwajiri
Yuko really upset and confused anaomba ushauri.Alifanya haya kwa ushauri mbay.Nawaombeni wazoefu kazni mtusaidie
 
Last edited:
Fafanua vizuri aliajiliwa wapi serikalini au secta binafsi?
Kama serikalini mwaka gani elezea ili upewe ushauri mzuri.
 
Fafanua vizuri aliajiliwa wapi serikalini au secta binafsi?
Kama serikalini mwaka gani elezea ili upewe ushauri mzuri.
Hujanielewa vizuri mkuu nazungumzia ule mkopo wa bank vp.....
Afanyaje ? Na pia ishu ya hizi ajira kuingiliana
 
Hujanielewa vizuri mkuu nazungumzia ule mkopo wa bank vp.....
Afanyaje ? Na pia ishu ya hizi ajira kuingiliana
Si useme tu kuwa muhusika ni wewe! Omba Mungu bomu lisikulipukie ndugu yangu, vinginevyo ni kufungwa jela tu kwa wizi
 
Hujanielewa vizuri mkuu nazungumzia ule mkopo wa bank vp.....
Afanyaje ? Na pia ishu ya hizi ajira kuingiliana
Ndio maana ninekuuliza alichukua mkopo akiwa kama mwajiliwa secta ipo serikalini au secta binafsi? Pengine nikutoe hofu tu mfumo hauwezi kukutambua kwa sasa mshukuru magufuri kusimamia zoezi la wafanyakazi hewa kwa maana hata Kama ulikuwepo kwenye mfumo ila wakazuia salary basi kipindi cha uhakiki walikuondoa so usiwaze utapeta ila ingekuwa zamani ungeisoma namba
 
Ndio maana ninekuuliza alichukua mkopo akiwa kama mwajiliwa secta ipo serikalini au secta binafsi? Pengine nikutoe hofu tu mfumo hauwezi kukutambua kwa sasa mshukuru magufuri kusimamia zoezi la wafanyakazi hewa kwa maana hata Kama ulikuwepo kwenye mfumo ila wakazuia salary basi kipindi cha uhakiki walikuondoa so usiwaze utapeta ila ingekuwa zamani ungeisoma namba[na ishu ya kutaka kulipa je inawezekana kuwasiliana na mwajir wa zaman ili kurudisha gharama aliyoingia hata kwa kukopa na kulipa kidogokidogo






ikiwezekana au ni ngumu, maana itajulikana tu.
 
utandu said:
Ndio maana ninekuuliza alichukua mkopo akiwa kama mwajiliwa secta ipo serikalini au secta binafsi? Pengine nikutoe hofu tu mfumo hauwezi kukutambua kwa sasa mshukuru magufuri kusimamia zoezi la wafanyakazi hewa kwa maana hata Kama ulikuwepo kwenye mfumo ila wakazuia salary basi kipindi cha uhakiki walikuondoa so usiwaze utapeta ila ingekuwa zamani ungeisoma namba
Na je inawezekana kuw
Ndio maana ninekuuliza alichukua mkopo akiwa kama mwajiliwa secta ipo serikalini au secta binafsi? Pengine nikutoe hofu tu mfumo hauwezi kukutambua kwa sasa mshukuru magufuri kusimamia zoezi la wafanyakazi hewa kwa maana hata Kama ulikuwepo kwenye mfumo ila wakazuia salary basi kipindi cha uhakiki walikuondoa so usiwaze utapeta ila ingekuwa zamani ungeisoma namba
Nkuwna je inawezekana kuwasiliana na mwajiri wa zaman ili kuanza kulipa gharama aliyotumia hata kwa makato katika mshahara au ni ngumu....maana ni vizur ku deal mapema na tatizo
 
Na je inawezekana kuw

Nkuwna je inawezekana kuwasiliana na mwajiri wa zaman ili kuanza kulipa gharama aliyotumia hata kwa makato katika mshahara au ni ngumu....maana ni vizur ku deal mapema na tatizo
Haipo hiyo deni lilipostop bank ilifatilia ikaona haupo katika ajira ikajirizisha so deni likafutwa kwa malipo ya bima ya mkopo so deni halipo hilo tena wewe piga kimya endelea na maisha yako
 
Heshima yenu wadau wa jamvini ..

Kuna suala moja mtu wangu wa karibu kanisshirikisha nikaw njiapanda kutoa ushauri......
Ni kwamba jamaa alihitimu dip ya Education miaka kadhaa ilopita akaajiriwa sehem fulan mwez wa kwanza, ilipofika mwezi wa kumi na moja the same year akajiunga university bila ruhusa. Akiwa chuo ule mwez wa kwanza mkopo wa chuo ulichelewa .....watu wakamshauri akachukua loan taasis flan
kama 5m baadaye salary Ikakatwa.Kaendelea kupiiga buku kamaliza..Baadaye kaomba ajira mpya kwa gamba la degree bila diploma sehem tofaut akafanikiwa hakujulikana.Kakaa now miaka mitatu kuna majina flan yamekuj kituon mwaka huu system ikamtambua ana sifa ya diploma na aliwah kuwa kituo flan ,, ambayo yeye hakuitumia kuomba ajira mpya na ikawa ni lazima kujaza sifa ya degree,.

Sasa hofu ni kwamba
1.Kuna uwezekano wa kurudishwa kituo cha kwanza?
2.Je lile deni alilipa nani ??? na riba za hz taasis ndogo ni kubwa balaaa
acje akawa ni hewa akaambiwa anadaiwa kama 25m ..Na kuna uhakiki uliondoa wasokuwepo kazini akiwa shule

3.Afanyaje maana nahuku alijisahau akakopa ana deni kama 2m hivii
4.Na je akirudishwa kule si inaweza kuwa balaa kwa mwajiri
Yuko really upset and confused anaomba ushauri.Alifanya haya kwa ushauri mbay.Nawaombeni wazoefu kazni mtusaidie

MKUU,

USIPOKUWA MAKINI NA HAYA MAMBO UTAPANDISHWA KIZIMBANI KAMA MASIHARA!!!

 
Back
Top Bottom