Msaada wa ushauri ninunue gari gani kwa bajeti ya 16M

Mbassa jr

JF-Expert Member
Feb 29, 2016
1,234
3,172
Wakuu bajeti niliotenga ni 16M nataka kuvuta usafiri, nahitaji msaada wa ushauri ni gari gani naweza kununua ambayo ina sifa hizi hapa nlizoanisha:-
-Haili sana mafuta ambayo unaweza kuiita economy.
- Gari ngumu ambayo inaweza kuhimili shurba za mara kwa mara kwasababu barabara ninayotumia ni rough road na yenye makorongo ya hapa na pale.
-Upatikanaji wake wa spea kwa hapa tanzania uwe ni wa uhakika.
Nawasilisha.
 
Kwa bajeti hiyo magari haya yatakufaa
-Rav 4
-Nissan Murano
-Kruger
-Harrier
-SUV NDOGO yoyote
Tena tafuta hapa hapa Bongo maana kuagiza hizo gari zitakugharimu zaidi
 
Wakuu bajeti niliotenga ni 16M nataka kuvuta usafiri, nahitaji msaada wa ushauri ni gari gani naweza kununua ambayo ina sifa hizi hapa nlizoanisha:-
-Haili sana mafuta ambayo unaweza kuiita economy.
- Gari ngumu ambayo inaweza kuhimili shurba za mara kwa mara kwasababu barabara ninayotumia ni rough road na yenye makorongo ya hapa na pale.
-Upatikanaji wake wa spea kwa hapa tanzania uwe ni wa uhakika.
Nawasilisha.
Hapo ni Rav4 au Escudo old model ndo gari ngumu!
 
Wakuu bajeti niliotenga ni 16M nataka kuvuta usafiri, nahitaji msaada wa ushauri ni gari gani naweza kununua ambayo ina sifa hizi hapa nlizoanisha:-
-Haili sana mafuta ambayo unaweza kuiita economy.
- Gari ngumu ambayo inaweza kuhimili shurba za mara kwa mara kwasababu barabara ninayotumia ni rough road na yenye makorongo ya hapa na pale.
-Upatikanaji wake wa spea kwa hapa tanzania uwe ni wa uhakika.
Nawasilisha.
gari zote ulizozitaja ni mbovu na za stareh .. gari ngumu na economy na upatikanaji wake wa spea ni rahic ni Toyota Hilux , Toyota D4D Hilux .
Kwa bajeti hiyo magari haya yatakufaa
-Rav 4
-Nissan Murano
-Kruger
-Harrier
-SUV NDOGO yoyote
Tena tafuta hapa hapa Bongo maana kuagiza hizo gari zitakugharimu zaidi
 
Kwa bajeti hiyo magari haya yatakufaa
-Rav 4
-Nissan Murano
-Kruger
-Harrier
-SUV NDOGO yoyote
Tena tafuta hapa hapa Bongo maana kuagiza hizo gari zitakugharimu zaidi
Mkuu mi naona ukiagiza ndo unaweza pata la bei nafuu kidogo ukilinganisha na ukinunua bongo coz huyu mwenye yadi lets say ananunua Japan,kule Japan anakonunua wale wauzaji wanakuwa wamemuuzia bei ya faida,na yeye akilishusha bongo ataweka faida yake hivyo bei ya gari itakuwa juu kidogo!ila akiagiza mwenyewe ina maana same car atalinunua kwa bei ya Japan tu likija bongo tayari linakuwa mikononi mwake moja kwa moja hivyo anakuwa ameipuka gharama ya muuzaji wa yadi!Nilishafanyaga hivyo na nika save some amount!
 
Wakuu bajeti niliotenga ni 16M nataka kuvuta usafiri, nahitaji msaada wa ushauri ni gari gani naweza kununua ambayo ina sifa hizi hapa nlizoanisha:-
-Haili sana mafuta ambayo unaweza kuiita economy.
- Gari ngumu ambayo inaweza kuhimili shurba za mara kwa mara kwasababu barabara ninayotumia ni rough road na yenye makorongo ya hapa na pale.
-Upatikanaji wake wa spea kwa hapa tanzania uwe ni wa uhakika.
Nawasilisha.
Chukua hii kamanda suzuki grand escudo
BF642748_2bb75c.jpeg
BF642748_390a54.jpeg
BF642748_5c9f79.jpeg
Screenshot_2017-06-14-14-49-17.png
 
Hello mkuu, kwanza kabisa hongera kwa kufikia uamuzi wa kuvuta usafiri,
mimi nafanya kazi autocom japan , kampuni ya kuagiza magari kutoka japan kuja tanzania.
Makao makuu yapo Japan ,Na offisi zetu kwa hapa tanzania, zipo Jengo la Quality center shopping mall Mtava, Along nyerere road.
Sisi tuna magari mazuri yenye ubora na bei ni nzuri kabisa.
cfd63ab0d7383917d4bf088aa4287a3e.jpg

kwa ushauri wangu ingekuwa kutokana na bajeti yako ingekuwa vyema ungechukua kati ya hizi gari 2,

Toyota rav4,
Year 1996
Cc 1990
Mileage 113000km
Gharama kamili 15.8m



42fa15dedd1c6c33a7fe4b176d63acf2.jpg

8427e8f7fe0fee64d8c2f1597b428822.jpg


Toyota harrier 2002
Cc 2360
Mileage 154000km
Gharama kamili 17m,
84798e20bb69c510b39483f2db44a922.jpg

171cf835d49761eea06cbcebdbace3e4.jpg

793bdd94d719b792e2bf6eadbeb5ed11.jpg

Otherwise itabidi uende kwa xtrail.
This will be the best options for ua budget.
Also waeza kutembelea kwa maongezi na ushauri zaidi.
 
Wakuu bajeti niliotenga ni 16M nataka kuvuta usafiri, nahitaji msaada wa ushauri ni gari gani naweza kununua ambayo ina sifa hizi hapa nlizoanisha:-
-Haili sana mafuta ambayo unaweza kuiita economy.
- Gari ngumu ambayo inaweza kuhimili shurba za mara kwa mara kwasababu barabara ninayotumia ni rough road na yenye makorongo ya hapa na pale.
-Upatikanaji wake wa spea kwa hapa tanzania uwe ni wa uhakika.
Nawasilisha.
Ongeza milioni nane nikuachie Discovery 4. Ni nzuri utafurahia achana na toyota family.nimeacha kutumia toyota miaka minne iliyopita so nakushauri chukua magari ambayo watu wanayaogopa.
kuhusu fuel consumption inategemea na mahali unapoend kufanya shughuli zako na foleni.
Ungeweza angalia pia na Audi kama hutapendelea Discovery.
B,R
 
gari zote ulizozitaja ni mbovu na za stareh .. gari ngumu na economy na upatikanaji wake wa spea ni rahic ni Toyota Hilux , Toyota D4D Hilux .
Naikubali sana Toyota Hilux D4D ukiwa na safari ndefu na ikiwa kwenye 2H, 1L inaenda zaidi ya km 15
 
Back
Top Bottom