BOJAN BOJO
Member
- Jul 11, 2013
- 9
- 14
Wakuu poleni na majukumu ya kutwa ya leo nilikuwa naomba msaada wa mawazo na ushauri wenu nina laki 7 nifanye biashara ipi ambayo nitatoka msaada please
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu bora mwenzangu unayo laki saba jitahidi kuitunzaWakuu poleni na majukumu ya kutwa ya leo nilikuwa naomba msaada wa mawazo na ushauri wenu nina laki 7 nifanye biashara ipi ambayo nitatoka msaada please
Nipo dar mzee kuhusu kufanya biashara mm binafsi bado ila nimeishawah kusimamia biashara na kuhusu changamoto zipo nyingi katika jamii zetu za kitanzania na hazitofautiani sana kwenye maeneo mengi zinafananaUko wapi?
Umewahi kufanya biashara?
Unapokaa kuna changamoto ipi kijamii ambayo unaweza kuitatua kwa pesa hiyo kibiashara?
Jibu hayo maswali kwanza.
Hapo Dar umegundua fursa gani ambayo unaona wazi kuwa ukiwekeza utapata.Ni
Nipo dar mzee kuhusu kufanya biashara mm binafsi bado ila nimeishawah kusimamia biashara na kuhusu changamoto zipo nyingi katika jamii zetu za kitanzania na hazitofautiani sana kwenye maeneo mengi zinafanana
au nakushauri anza kufuga kukuNi
Nipo dar mzee kuhusu kufanya biashara mm binafsi bado ila nimeishawah kusimamia biashara na kuhusu changamoto zipo nyingi katika jamii zetu za kitanzania na hazitofautiani sana kwenye maeneo mengi zinafanana
Mkuu yaani na logo yote hiyo ya Chuo cha Uhasibu Arusha umeshindwa kuipangia biashara laki 7? Usidhalilishe chuo chetu arifu.Wakuu poleni na majukumu ya kutwa ya leo nilikuwa naomba msaada wa mawazo na ushauri wenu nina laki 7 nifanye biashara ipi ambayo nitatoka msaada please
KhursaFanya biashara ya kuuza matunda
AU
Fuga kuku (iwapo utapata eneo)
AU
Fungua mgahawa.
AU
Kauze mifuko ya plastic dadeki.