Msaada wa ushauri/Nasaha..

Al Adawi

Member
Feb 25, 2011
91
38
Habari zenu wana Jamvi :;
Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kwa baraka na rehema zake kwangu. Kwa ufupi nimepitia ktk kipindi cha majaribu..iko. hivi, :Nilikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na dada fulani, ambao mie niliuona ni serious relationship,ambayo nilitegemea kunifikisha kwenye ndoa, if God wished. Nilimaliza degree yangu hapo mlimani miaka miwili ilopita;baadaye nilikwenda Italy kwa masters yangu..kabla ya kusafiri nilianzisha uhusiano na dada fulani aliyekuwa anamalizia degree ya medicine,na kwakweli nilimpenda na niliamini naye alinipenda. Kwa kipindi chote nilipokuwa chuoni huko tuliwasiliana na nilimtumia pesa nyingi tu kuliko hata nilivyowatumia ndugu zangu. Nilivyorudi mwanzoni mwa mwaka huu, alikuwa kesha badilika kimwenendo na tabia., akawa ni mtu wa kupenda kujirusha, kwenda night clubs hata nikimuonya hanielewi tena. Kwahakika hata life standard and stile yake ilibadilika kutokana na pesa nilizokuwa nikimtumia. Muda si mrefu nikapata habari kuwa anauhusiano wa kimapenzi na kijana fulani ati anafanya ikulu. Nilifuatilia nikapata uhakika. Niliumia sana na katika harakati za kutaka arudishe gari dogo nililomnunulia, nilimfata Moshi alikokuwa amekwenda, ofcourse nilimfata huko baada ya kusikia kuwa akirudi dar atakaa siku moja then atakuwa safarini China. Basi nilikwenda huko na akanikimbia, niliamua kurudi. Nilipofika maeneo ya Korogwe nilipata ajali mbaya ya gari na niliponea chupuchupu kwani gari yangu ilikuwa ikiwaka moto ndipo walitokea wasamaria wema wakanichomoa. Yule dada alipata taarifa yeye na hata wazazi wake, lakini kwakipindi chote nilichokuwa hospitalini sikuwahi pokea hata SMS ya kunipa pole. Ndugu zangu imefikia hatua sasa sitaki kujikubali na hali hii. Nimejitahidi kusamehe na kusahau, lakini ninashindwa.ukweli nahitaji msaada wa ushauri na faraja ya wote walioguswa na mkasa huu.
 
Mkuu yameshatokea just sahau na na endelea na maisha yako
hapo hakuna kitu na hakuna mwanamke wa kukufaa katika huyo dada
Mwache na pambana kujenga maisha yako kwa sasa ufanye na utafute wa kukufaa
Huyo ndio hivyo ni ndege aliye mtini hakufai
 
Mkuu yameshatokea just sahau na na endelea na maisha yako
hapo hakuna kitu na hakuna mwanamke wa kukufaa katika huyo dada
Mwache na pambana kujenga maisha yako kwa sasa ufanye na utafute wa kukufaa
Huyo ndio hivyo ni ndege aliye mtini hakufai[/QUOTE

Asante mkuu..yaani nimekonda kama victim wa mdudu yule..na nahisi nshapoteza hata life vision yangu..
 
Mkuu yameshatokea just sahau na na endelea na maisha yako
hapo hakuna kitu na hakuna mwanamke wa kukufaa katika huyo dada
Mwache na pambana kujenga maisha yako kwa sasa ufanye na utafute wa kukufaa
Huyo ndio hivyo ni ndege aliye mtini hakufai[/QUOTE

Asante mkuu..yaani nimekonda kama victim wa mdudu yule..na nahisi nshapoteza hata life vision yangu..

Mkuu mwanamke asikufanye upoteze vision ya life lako wala asikufanye upoteze kile ambacho umekipigania muda mrefu
Kwani mkuu ukiwa na pesa au cheni yako unaipenda sana na ikatumbukia kweney mto wenye kina kirefu si unapiga moyo unaendelea na life
So hiyo na pesa ulizotoa jiambie kuwa zilitumbukia mtoni kwenye kina kirefu na mambo wengi skiasi kwamba huwezi tumbukiza mguu wako pale
 
Mkuu mwanamke asikufanye upoteze vision ya life lako wala asikufanye upoteze kile ambacho umekipigania muda mrefu
Kwani mkuu ukiwa na pesa au cheni yako unaipenda sana na ikatumbukia kweney mto wenye kina kirefu si unapiga moyo unaendelea na life
So hiyo na pesa ulizotoa jiambie kuwa zilitumbukia mtoni kwenye kina kirefu na mambo wengi skiasi kwamba huwezi tumbukiza mguu wako pale
absolutely, you make sense kaka. Pamoja na yote hayo natamani nirudi kindergarten nianze kujifunza human affairs.
 
absolutely, you make sense kaka. Pamoja na yote hayo natamani nirudi kindergarten nianze kujifunza human affairs.

Mkuu you have friends and above all the one you believe is your best friend to whom you can talk and share your intimate secret. Kaa nae mweleze mambo yako na mwombe ushauri wa maisha maana kama ni mwelewa atakupa ushauri wa maana na najua watu wa aina hiyo kwa sasa hawapo sana ila naamini unaye ambaye unaweza kushare nae mambo yako ya ndani sana
 
Potezea 2 mkuu..mtoto wa kike asikufanye uone maisha yako hayana thaman tena,piga moyo konde na life litasonga 2.
 
Mkuu you have friends and above all the one you believe is your best friend to whom you can talk and share your intimate secret. Kaa nae mweleze mambo yako na mwombe ushauri wa maisha maana kama ni mwelewa atakupa ushauri wa maana na najua watu wa aina hiyo kwa sasa hawapo sana ila naamini unaye ambaye unaweza kushare nae mambo yako ya ndani sana

Sure.nafikiri napungukiwa imani pia.ts like nimeanza ground zero ..thanx kwa ushauri wako ..sometym napoteza matumaini, lakini watu wachache kama ninyi wananiinua tena.. in another hand, kwanini binadam tupo hivyo? Kulipa ubaya kwa wema????
 
Sure.nafikiri napungukiwa imani pia.ts like nimeanza ground zero ..thanx kwa ushauri wako ..sometym napoteza matumaini, lakini watu wachache kama ninyi wananiinua tena.. in another hand, kwanini binadam tupo hivyo? Kulipa ubaya kwa wema????

Mkuu naona umesahau ule usemi kuwa " Tenda wema uende zako usingojee shukrani"
Umeshafanya your part just move on mkuu
Hiyo ni kwamba unamwambia Mungu asante kwa kunipa maisha na mikono na miguu miwili na akili ya kufanya haya na then tafuta za kwako sasa na yeye muombee sana Mungu ambariki
Malipo wala kisasi usilipe mwachie Mungu mwenyewe atajua la kumfanya
Umeshamjua na umeshajua kuwa binadam hatuna shukrani sasa ni nafasi yako ya kusema sasa basi na kila unayempa msaada wala usitegemee atakuja kukupa asante
Wengine hata wakikupa asante ni ya kinafiki haitoki moyoni
 
Mkuu yameshatokea just sahau na na endelea na maisha yako
hapo hakuna kitu na hakuna mwanamke wa kukufaa katika huyo dada
Mwache na pambana kujenga maisha yako kwa sasa ufanye na utafute wa kukufaa
Huyo ndio hivyo ni ndege aliye mtini hakufai[/QUOTE

Asante mkuu..yaani nimekonda kama victim wa mdudu yule..na nahisi nshapoteza hata life vision yangu..

wewe hayo mambo ya kizamani enzi hizo watu waamua kujiua nk . tupa kule songa mbele maisha ni mtihani jitaidi kufaulu kwa hilo wanawake wapo wengi tu tena omba mungu sana na nakushauri kwa sasa usianze mahusiano mapya jipe muda weka akili yako kutafuta maisha mazuri zaidi penda kwenda sehemu za kukupotezea mawazo during weekend kama beach , cinema, kwenye band nk then utaona tu maisha ni simple na yanaenjoyments nyingi tena sana . pole and you have to be very strong otherwise you can loose all things you have kwanza huwezi jua mungu alikuwa anakuepusha na nini coz every things happens for a reason . just be strong
 
Mkuu naona umesahau ule usemi kuwa " Tenda wema uende zako usingojee shukrani"
Umeshafanya your part just move on mkuu
Hiyo ni kwamba unamwambia Mungu asante kwa kunipa maisha na mikono na miguu miwili na akili ya kufanya haya na then tafuta za kwako sasa na yeye muombee sana Mungu ambariki
Malipo wala kisasi usilipe mwachie Mungu mwenyewe atajua la kumfanya
Umeshamjua na umeshajua kuwa binadam hatuna shukrani sasa ni nafasi yako ya kusema sasa basi na kila unayempa msaada wala usitegemee atakuja kukupa asante
Wengine hata wakikupa asante ni ya kinafiki haitoki moyoni

Vremant,great phrase. Kaka..life goes on. Kweli "tenda wema ondoka zako".this is great living statement.
 
Pole kwa uliyopitia,lakini mshukuru Mungu wako kwani atakuwa amekuepushia balaa kubwa zaidi. Anza kujipanga upya na utafanikiwa tu.
 
wewe hayo mambo ya kizamani enzi hizo watu waamua kujiua nk . tupa kule songa mbele maisha ni mtihani jitaidi kufaulu kwa hilo wanawake wapo wengi tu tena omba mungu sana na nakushauri kwa sasa usianze mahusiano mapya jipe muda weka akili yako kutafuta maisha mazuri zaidi penda kwenda sehemu za kukupotezea mawazo during weekend kama beach , cinema, kwenye band nk then utaona tu maisha ni simple na yanaenjoyments nyingi tena sana . pole and you have to be very strong otherwise you can loose all things you have kwanza huwezi jua mungu alikuwa anakuepusha na nini coz every things happens for a reason . just be strong

InshAllah, ushauri wako nitazingatia..lakini ukiweza nisaidie hili ;kwanini binadam (si wote) wanalipa ubaya kwa kutendewa wema?? Au tuseme. Kusaidia au kuwa na relationship especially dating je si carrying risk??
 
Mwanamke yeyote ambae sio mkeo wa ndoa
ni risk ambayo una take kama mwanaume,kupata au kukosa ni matokeo.....

Kwanza unapaswa kushukuru umemjua kabla hujamuoa......

Halafu zawadi ukishampa mtu ,hasa kwenye mapenzi,sio vizuri kudai.....hata kama gari....
 
msichana najichana hivo we bado unamkumbuka pamoja na ajali mbaya yote hiyo uliyopata na huwezi jua labda mchawi alitaka ufe, pole sana jipe muda utapona maumivu na kupata msichana wa ndoto zako, mpaka ilipofikia huyo msichana wala ha deserve kuwa na wewe kabisa, gari kitu gani, mwachie tu kaka angu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom