Sheriff Hood
Member
- May 3, 2018
- 82
- 124
Habari wakuu
Samahani naomba wenye idea na huu utaratibu wa PSSSF wanisaidie kunielewesha kama kweli hichi kitu kipo
Mimi niliwahi kuajiriwa Serikalini baada ya miaka miwili na nusu ya kudumu kwenye ajira nikafukuzwa kazi, baada ya kufukuzwa kazi nikaanza kufuatilia mafao yangu pspf (ambayo Sasa hivi ni PSSSF) nikawa nimekamilisha tafatibu zote kilichobaki ni kuingiziwa hiyo hela, lakini baadae wakaniambia hawatanilipa hiyo hela badala yake wataiingiza bodi ya mikopo kwa sababu nadaiwa. Sasa umepita zaidi ya mwaka mmoja toka waniambie hivyo na hiyo pesa bodi ya mikopo haijaingia mpaka leo.
Kutokana na scenario hiyo naanza kupatwa na wasiwasi juu ya ukweli wa uwepo wa huo utaratibu.
Naomba wadau mnaojua mnisaidie kujua Kama huo utaratibu au sheria hiyo ni kweli ipo.
Samahani naomba wenye idea na huu utaratibu wa PSSSF wanisaidie kunielewesha kama kweli hichi kitu kipo
Mimi niliwahi kuajiriwa Serikalini baada ya miaka miwili na nusu ya kudumu kwenye ajira nikafukuzwa kazi, baada ya kufukuzwa kazi nikaanza kufuatilia mafao yangu pspf (ambayo Sasa hivi ni PSSSF) nikawa nimekamilisha tafatibu zote kilichobaki ni kuingiziwa hiyo hela, lakini baadae wakaniambia hawatanilipa hiyo hela badala yake wataiingiza bodi ya mikopo kwa sababu nadaiwa. Sasa umepita zaidi ya mwaka mmoja toka waniambie hivyo na hiyo pesa bodi ya mikopo haijaingia mpaka leo.
Kutokana na scenario hiyo naanza kupatwa na wasiwasi juu ya ukweli wa uwepo wa huo utaratibu.
Naomba wadau mnaojua mnisaidie kujua Kama huo utaratibu au sheria hiyo ni kweli ipo.