Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,150
- 15,604
Wakuu naomba mnifahamishe/shauri smart phone nzuri na ya bei rahisi inayofaa kwa mwanamke,aliyokuwa akiitumia mtoto kaitumbukiza kwenye ndoo ya maji fundi anataka 70,000/= kuirekebisha nimeona bora kununua nyengine.budget 150,000/= iwe brand yoyote isiwe Tecno.nawasilisha