Msaada wa ushauri kwa braza.

Ahahahahaaaaaa, smtime huwa unaakili kweli wewe (@lala 1)!
Big up, ushauri mzuri aache ngono huyo kijana mdogo asome kwanza!
:A S angry:
Mkataze NGONO ZEMBE!!!!!! Ukimwi Unaua, hata siku haijapita toka tuadhimishe siku ya ukimwi duani!!!!! (That comming from me!!!!!!!! You better take it seriously)
 
Mkataze NGONO ZEMBE!!!!!! Ukimwi Unaua, hata siku haijapita toka tuadhimishe siku ya ukimwi duani!!!!! (That comming from me!!!!!!!! You better take it seriously)
kwa hiyo aki take precaution ya kuepuka ngono uzembe itasimama!
 
Ahahahahaaaaaa, smtime huwa unaakili kweli wewe (@lala 1)!
Big up, ushauri mzuri aache ngono huyo kijana mdogo asome kwanza!
:A S angry:

acha kushobokea watu,hapo lara1 hakuna ushauri wowote aliotoa kusaidia tatizo la muhusika..
 
unamuona muuza ubuyu anavyojikomba kwa lara1 hapo juu...hovyo kweli
kiongozi kuna watu wanachangia kwa kuangalia jina!!yaani ni sawa na mtu amesema gari langu haliwaki,anaambiwa apunguze misele ya mjini!halafu mwingine anashangilia na kicheko juu,ushauri mzuri,kisa jina fulani ndo limetoa mchango huo!!!inasikitisha!
 
kiongozi kuna watu wanachangia kwa kuangalia jina!!yaani ni sawa na mtu amesema gari langu haliwaki,anaambiwa apunguze misele ya mjini!halafu mwingine anashangilia na kicheko juu,ushauri mzuri,kisa jina fulani ndo limetoa mchango huo!!!inasikitisha!

huyo muuza ubuyu hana maana kabisa.
 
Habari zenu wana M.M.U.
Leo nilipigiwa simu na mdogo wangu (he is 21yrs) yuko chuo pale ushirika moshi,
amejaribu ku "do" na gf wake mara 2,mara ya kwanza ni three weeks ago na jana akawa hasimamishi,amesema hana msongo wa mawazo,hebu waungwana nisaidieni ushauri wa kumpa..na mimi ndo big bro kwa hiyo lazima nije na suluhisho la maana..
asanteni
mkuu tujaribu kumsubiri MziziMkavu apitie huku,ni kati ya maeneo yake haya katka issue hizo!!
 
Last edited by a moderator:
Mwambie aache kupanic, asipanie game,mawazo yake ahakikishe yanakuwa pale!

Pia ni vyema kuangalia upande wa pili kwa mwanamke ikiwemo usafi!
 
Habari zenu wana M.M.U.
Leo nilipigiwa simu na mdogo wangu (he is 21yrs) yuko chuo pale ushirika moshi,
amejaribu ku "do" na gf wake mara 2,mara ya kwanza ni three weeks ago na jana akawa hasimamishi,amesema hana msongo wa mawazo,hebu waungwana nisaidieni ushauri wa kumpa..na mimi ndo big bro kwa hiyo lazima nije na suluhisho la maana..
asanteni
Mkuu kalou mpe Pole zangu tu nyingi muulize je ana tabia ya kupiga punyeto?kama anayo basi hiyo pia inachangia la kama hana basi utakuwa kapata mstuka fulani juu ya huyo mpenzi wake inatokea wakati mwengine

unakuwa na mpenzi hiyo ndizi ikawa haisimami ingawa sio mara nyingi muulize na kitu kiingine je anapo amka asubuhi

kwenda choo anapo kojoa hiyo ndizi yake huwa inasimama au haisimami? nataka jibu hapo? Na awe anajiandaa

kufanya hilo tendo la mapenzi sio tu kukurupa tu na kufanya hilo tendo bora angelikuja mwenyewe kuna maswali mengi tunahitaji tumuulize au ndio wewe Mkuu unajifanya ni mdogo wako?Samahani kwa kukwambia hivyo.

mkuu tujaribu kumsubiri MziziMkavu apitie huku,ni kati ya maeneo yake haya katka issue hizo!!
Mkuu Zamaulid nimesha mjibu huyu mkuu@kalou.
 
Last edited by a moderator:
Nitamuuliza hayo maswali na nitatupia hapa majibu,..mkuu mimi sina hilo tatizo ni huyo mdogo..ahsante kwa majibu
 
Mkuu kalou mpe Pole zangu tu nyingi muulize je ana tabia ya kupiga punyeto?kama anayo basi hiyo pia inachangia la kama hana basi utakuwa kapata mstuka fulani juu ya huyo mpenzi wake inatokea wakati mwengine

unakuwa na mpenzi hiyo ndizi ikawa haisimami ingawa sio mara nyingi muulize na kitu kiingine je anapo amka asubuhi

kwenda choo anapo kojoa hiyo ndizi yake huwa inasimama au haisimami? nataka jibu hapo? Na awe anajiandaa

kufanya hilo tendo la mapenzi sio tu kukurupa tu na kufanya hilo tendo bora angelikuja mwenyewe kuna maswali mengi tunahitaji tumuulize au ndio wewe Mkuu unajifanya ni mdogo wako?Samahani kwa kukwambia hivyo.

Mkuu Zamaulid nimesha mjibu huyu mkuu@kalou.

kasema hana abnormality yoyote kwenye hilo la mkojo wa asubuhi..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom