kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,975
- 3,824
Habari zenu wana M.M.U.
Leo nilipigiwa simu na mdogo wangu (he is 21yrs) yuko chuo pale ushirika moshi,
amejaribu ku "do" na gf wake mara 2,mara ya kwanza ni three weeks ago na jana akawa hasimamishi,amesema hana msongo wa mawazo,hebu waungwana nisaidieni ushauri wa kumpa..na mimi ndo big bro kwa hiyo lazima nije na suluhisho la maana..
asanteni
Leo nilipigiwa simu na mdogo wangu (he is 21yrs) yuko chuo pale ushirika moshi,
amejaribu ku "do" na gf wake mara 2,mara ya kwanza ni three weeks ago na jana akawa hasimamishi,amesema hana msongo wa mawazo,hebu waungwana nisaidieni ushauri wa kumpa..na mimi ndo big bro kwa hiyo lazima nije na suluhisho la maana..
asanteni