Mkiliman
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 983
- 340
Mimi ninao umri wa miaka 29, kijana wa kiume, nimemaliza chuo kikuu, nafanya kazi Dar.
Ninayo matatizo makubwa ya kiafya, husasi suala la uzazi.
Kwanza kabisa, uume wangu ni kama wa mtoto mdogo (i mean ni mdogo), hasa ninapokuwa settled siwazi kufanya mapenzi (nini chanzo cha uume mdogo at my age above said?).
Pili, nimekuwa na marafiki wa kike (lovers) lakini nakuwa mwoga kufanya mapenzi kwasababu ya hali yangu ya uume mdogo (nifanye nini?).
Tatu, ninapokuwa na msichana na ninatamani kufanya naye mapenzi, ghafla najikuta nimeshamwaga manii zote kabla hata ya kuingiza uume mahali kunakotakiwa (pre-ejaculation), sasa ikishatokea hivyo, uume unarudi kuwa mdogo kabisa, na hamu ya kufanya mapenzi/romance ndiyo inaishia hapo (nifanye nini kutibu hali hii?).
Pamoja na hayo yote, nimekwenda hospitali kupima niliambiwa sina tatizo la nguvu za kiume. Pia, uume wangu unasimama regurarly, situmii kilevi aina ya pombe wala kinachotoa moshi, niliwahi kufanya punyeto siku za nyuma, dawa za kienyji nimejaribu.
Ninayo matatizo makubwa ya kiafya, husasi suala la uzazi.
Kwanza kabisa, uume wangu ni kama wa mtoto mdogo (i mean ni mdogo), hasa ninapokuwa settled siwazi kufanya mapenzi (nini chanzo cha uume mdogo at my age above said?).
Pili, nimekuwa na marafiki wa kike (lovers) lakini nakuwa mwoga kufanya mapenzi kwasababu ya hali yangu ya uume mdogo (nifanye nini?).
Tatu, ninapokuwa na msichana na ninatamani kufanya naye mapenzi, ghafla najikuta nimeshamwaga manii zote kabla hata ya kuingiza uume mahali kunakotakiwa (pre-ejaculation), sasa ikishatokea hivyo, uume unarudi kuwa mdogo kabisa, na hamu ya kufanya mapenzi/romance ndiyo inaishia hapo (nifanye nini kutibu hali hii?).
Pamoja na hayo yote, nimekwenda hospitali kupima niliambiwa sina tatizo la nguvu za kiume. Pia, uume wangu unasimama regurarly, situmii kilevi aina ya pombe wala kinachotoa moshi, niliwahi kufanya punyeto siku za nyuma, dawa za kienyji nimejaribu.