MSAADA WA USHAURI, DAWA (if any), NA MAELEZO MENGINE KUTOKA KWENU.

Mkiliman

JF-Expert Member
Jun 8, 2011
983
340
Mimi ninao umri wa miaka 29, kijana wa kiume, nimemaliza chuo kikuu, nafanya kazi Dar.

Ninayo matatizo makubwa ya kiafya, husasi suala la uzazi.

Kwanza kabisa, uume wangu ni kama wa mtoto mdogo (i mean ni mdogo), hasa ninapokuwa settled siwazi kufanya mapenzi (nini chanzo cha uume mdogo at my age above said?).

Pili, nimekuwa na marafiki wa kike (lovers) lakini nakuwa mwoga kufanya mapenzi kwasababu ya hali yangu ya uume mdogo (nifanye nini?).

Tatu, ninapokuwa na msichana na ninatamani kufanya naye mapenzi, ghafla najikuta nimeshamwaga manii zote kabla hata ya kuingiza uume mahali kunakotakiwa (pre-ejaculation), sasa ikishatokea hivyo, uume unarudi kuwa mdogo kabisa, na hamu ya kufanya mapenzi/romance ndiyo inaishia hapo (nifanye nini kutibu hali hii?).

Pamoja na hayo yote, nimekwenda hospitali kupima niliambiwa sina tatizo la nguvu za kiume. Pia, uume wangu unasimama regurarly, situmii kilevi aina ya pombe wala kinachotoa moshi, niliwahi kufanya punyeto siku za nyuma, dawa za kienyji nimejaribu.
 
Pole sana kaka. Umejaribu kuonana na urologist? Manake kama unaonana na dr wa kawaida sio rahisi aweze kukusaidia. Hiyo ya kuejaculate mapema inawatokea hata wenye uume mkubwa, inatokana na wasiwasi kwa mtu ambae haujamzoea. Ukiendelea kuzoeana na mtu huenda ikapungua kwa sana.
 
Pole sana kaka. Umejaribu kuonana na urologist? Manake kama unaonana na dr wa kawaida sio rahisi aweze kukusaidia. Hiyo ya kuejaculate mapema inawatokea hata wenye uume mkubwa, inatokana na wasiwasi kwa mtu ambae haujamzoea. Ukiendelea kuzoeana na mtu huenda ikapungua kwa sana.

Thanks kwa pole yako. Urologist sijaonana naye.

Vipi wanapatikana hospitali nyingi hapa Dar au ni special sana??
 
pole sana nafikiri hata kupiga nyeto kumechangia kukuharibu, jaribu kucheki na hao ma dr
 
Wanapatikana wengi tu, almost kila hospitali nadhani. Agha kan yupo kila siku kasoro jumamosi (nusu siku) na jumapili hayupo kabisa. I assure you, sidhani kama una tatizo lolote. Unahitaji reassurance ya dr, na mwanamke ambae ni understanding atakaekupa moyo badala ya kukuvunja moyo. Kila la kheri.

Kuhusu premature ejaculation, unafanya mazoezi ya kegel? Kama bado, yafanye kuwa sehemu ya maisha yako.Lakini usisiskilize hadithi za mitandaoni za mie naenda masaa mawili mfululizo sijui nna inchi 7. Ni porojo tu, na hata kwa.wazoefu ajali za dk 1 huwa.zinawapata pia. Jiamini, kama mwanamke amekupenda, haijalishi size, mbinu mbadala zipo pia.

Thanks kwa pole yako. Urologist sijaonana naye.

Vipi wanapatikana hospitali nyingi hapa Dar au ni special sana??
 
Assumptions
1. wewe una uzito mkubwa zaidi ya kawaida kwa urefu wako
2. Una High blood pressure
3. una blood sugar higher than normal
4. you are introvet/shy
5. you have high levels of bad cholesterol in your blood
6. unakula chakula kisichokuwa na virutubisho muhimu
na mwisho
7. una stress
Kitu cha kufanya
pata majibu ya swali 1-7 hapo juu kutoka hospital kama MNH, Agha Khan, sanitas etc
 
Assumptions
1. wewe una uzito mkubwa zaidi ya kawaida kwa urefu wako
2. Una High blood pressure
3. una blood sugar higher than normal
4. you are introvet/shy
5. you have high levels of bad cholesterol in your blood
6. unakula chakula kisichokuwa na virutubisho muhimu
na mwisho
7. una stress
Kitu cha kufanya
pata majibu ya swali 1-7 hapo juu kutoka hospital kama MNH, Agha Khan, sanitas etc

Uliyosema 1-7 ni sahihi kabisa. Thanks nitafanyia kazi.
 
Pamoja na hayo: ana 8. Low Self Esteem (Nafsi tukuka ya chini sana), so unapaswa kujiamini unapokuwa na mwanamke wako. pamoja na hao wataalam unapaswa kuonana na wana Saikolojia kwa ajili ya Ushauri nasaha (hawa wako wengi tu hasa pale UDSM; hachana na wale wa mtaani)!

Assumptions
1. wewe una uzito mkubwa zaidi ya kawaida kwa urefu wako
2. Una High blood pressure
3. una blood sugar higher than normal
4. you are introvet/shy
5. you have high levels of bad cholesterol in your blood
6. unakula chakula kisichokuwa na virutubisho muhimu
na mwisho
7. una stress
Kitu cha kufanya
pata majibu ya swali 1-7 hapo juu kutoka hospital kama MNH, Agha Khan, sanitas etc
 
Naona ni tatizo lako hujiamini.Hii ya kuwahi kumwaga huwakumba wengi, ukipunguza hofu na kujiamni kila kitu kitaenda sawa. Najua matatizo ya stori za vijiweni "mimi napiga sita", "naweza kukesha na-do', "nina bonge la u..bo." nk vinachangia sana kutaka mambo makubwa wakati hayo ni maigizo tu
 
Mimi ninao umri wa miaka 29, kijana wa kiume, nimemaliza chuo kikuu, nafanya kazi Dar.

Ninayo matatizo makubwa ya kiafya, husasi suala la uzazi.

Kwanza kabisa, uume wangu ni kama wa mtoto mdogo (i mean ni mdogo), hasa ninapokuwa settled siwazi kufanya mapenzi (nini chanzo cha uume mdogo at my age above said?).

Pili, nimekuwa na marafiki wa kike (lovers) lakini nakuwa mwoga kufanya mapenzi kwasababu ya hali yangu ya uume mdogo (nifanye nini?).

Tatu, ninapokuwa na msichana na ninatamani kufanya naye mapenzi, ghafla najikuta nimeshamwaga manii zote kabla hata ya kuingiza uume mahali kunakotakiwa (pre-ejaculation), sasa ikishatokea hivyo, uume unarudi kuwa mdogo kabisa, na hamu ya kufanya mapenzi/romance ndiyo inaishia hapo (nifanye nini kutibu hali hii?).

Pamoja na hayo yote, nimekwenda hospitali kupima niliambiwa sina tatizo la nguvu za kiume. Pia, uume wangu unasimama regurarly, situmii kilevi aina ya pombe wala kinachotoa moshi, (niliwahi kufanya punyeto siku za nyuma), dawa za kienyji nimejaribu.
Mkuu@Mkiliman Hapo nilipo weka Rangi ya blue kwenye sawali lako ndio imekuharibia huo Uume wako na kuifanya hiyo Dhakari yako kukosa nguvu Punyeto. Hiyo Punyeto imechangia sana kuwa na

upungufu wako wa hizo nguvu za kiume na una matatizo ya wasiwasi ukionana na mpenzi unakuwa ni mtu

ambaye usiye jiamini kimapenzi, jaribu punguza woga na jaribu kuwa na mpenzi mmoja na kuwa nae karibu hata siku huwa

hamfanyi mapenzi jaribu mpenzi wako kumfanya awe rafiki wako wa karibu. Huenda hayo matatizo yako

yataondoka ukishindwa huko hospitali kama walivyosema Wenzangu jaribu kwasiliana na mimi kwa njia ya

email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com
 
Mkuu@Mkiliman Hapo nilipo weka Rangi ya blue kwenye sawali lako ndio imekuharibia huo Uume wako na kuifanya hiyo Dhakari yako kukosa nguvu Punyeto. Hiyo Punyeto imechangia sana kuwa na

upungufu wako wa hizo nguvu za kiume na una matatizo ya wasiwasi ukionana na mpenzi unakuwa ni mtu

ambaye usiye jiamini kimapenzi, jaribu punguza woga na jaribu kuwa na mpenzi mmoja na kuwa nae karibu hata siku huwa

hamfanyi mapenzi jaribu mpenzi wako kumfanya awe rafiki wako wa karibu. Huenda hayo matatizo yako

yataondoka ukishindwa huko hospitali kama walivyosema Wenzangu jaribu kwasiliana na mimi kwa njia ya

email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com

MziziMkuu, asante ndugu yangu.

Nitajitahidi kufuata ushauri wako na wanajf wengine.
 
REVIVE
Bidhaa hii imetengenezwa na mimea aina mbili ambayo ni Epim-edium na Gin-sen. Bidhaa hii inawasaidia sana wanaume kuamsha hisia za mapenzi na kudumisha msisimko.
KAZI YA REVIVE

  • Kuongeza libido(ashiki au nyege)
  • Kutibu impotence(mahanisi)
  • Kuongeza muda wa uhai wa mbegu za kiume zinapotoka nje, zinatakiwa ziishi katiak joto 37’’C.
  • Kuweka mwili katika hali ya hisia ya kawaida
  • Kutibu maumivu ya kiuno
  • Kuchelewa kumwaga mapema(kufika kileleni)
  • Kutibu kutanuka kwa kibofu cha mkojo na kuzuia uwezekano wa kupata saratani ya kibofu cha mkojo.
  • Inaimarisha usafirishaji wa damu mwilini
  • Pia inasaidia kwa wenye pressure ya kushuka
  • Kuboresha utendaji wa tendo la ndoa
Mimi sina ushauri zaidi ya uliokwishatolewa na wengine. Ila ukishamaliza hatua zote kama hutafanikiwa uniandikie kwenye email yangu ya ishealthy@hotmail.com uweze kupata hii product ya kuondoa matatizo. Pia napatikana kwa namba 0776491294
 
Back
Top Bottom