msaada wa ugonjwa kichwani.

Mr Mr

Member
Sep 25, 2013
34
8
Mie nikijana nina tatizo la mapele kichwani ukiyatumbua yanatoa usaha unfuatiwa na damu, yanapo kauka yanakuwa kama mapunye. Nimetumia dawa nyingi tofauti lakini sioni mafanikio. Nambeni msaada nitumie dawa gani? Kwa mawasiliano zaidi 0765893098
 
Mie nikijana nina tatizo la mapele kichwani ukiyatumbua yanatoa usaha unfuatiwa na damu, yanapo kauka yanakuwa kama mapunye. Nimetumia dawa nyingi tofauti lakini sioni mafanikio. Nambeni msaada nitumie dawa gani? Kwa mawasiliano zaidi 0765893098

Mwone daktari. Hiyo "fungus" ambayo kuitibu ni mpaka utumie dawa za kumeza maana iko kwenye damu. Dawa za kupaka hazitaimaliza
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom