Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,825
Sawa ndugu AsanteWahindi wana tiba zake mkuu, ila pia hospitali dawa zake zipo japo ni ghali na adimu kimtindo. Ila zinafanana na risasi na ni kidonge mafuta almost inautefu wa inchi 1 hivi.
Siyo ya kumeza bali ni yakuchomeka kunako haja kubwa, kisha itayeyuka ndani kwa ndani yenyewe tu.
Nimekupa ayo maelekezo ila si dhani kama utaipata dukani bila prescription form y daktari.
Pole sana mkuu. Baadhi ya waja wazito wana izo mambo san so asione SO! Aseme na dokta tu!.