Msaada wa tiba ya mwanaume kushindwa kuzuia mkojo

Mung Chris

JF-Expert Member
Sep 12, 2017
3,367
3,778
JF doctors,

Naomba msaada kuna mzee flan mwenye umri wa miaka 70 anatokwa na mkojo, yani anaweza kukaa tu mkojo ukatoka wenyewe tatizo ni nini, sio mlevi wala mtumiaji wa dawa zozote za kulevya. msaada ili tumsaidi na tiba yake ni nini.

Asanteni
 
Back
Top Bottom