Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
JF doctors,
Naomba msaada kuna mzee flan mwenye umri wa miaka 70 anatokwa na mkojo, yani anaweza kukaa tu mkojo ukatoka wenyewe tatizo ni nini, sio mlevi wala mtumiaji wa dawa zozote za kulevya. msaada ili tumsaidi na tiba yake ni nini.
Asanteni
Naomba msaada kuna mzee flan mwenye umri wa miaka 70 anatokwa na mkojo, yani anaweza kukaa tu mkojo ukatoka wenyewe tatizo ni nini, sio mlevi wala mtumiaji wa dawa zozote za kulevya. msaada ili tumsaidi na tiba yake ni nini.
Asanteni