Ndugu wana jukwaa naomba msaada kwa mke wng ambaye amejifungua kwa operation leo n siku ya tano (5) anasumbuliwa na maumivu makali sana ya kichwa, shingo na mgongo inayopelekea hata kukaa anashndwa muda mwingi anakuwa amelala tu.
Hospital tumeruhusiwa juzi kwa kupewa vidonge vya ant pain (diclofenac) huku tukihakikishiwa ataendelea vzr kwan hiyo n hali ya kawaida lakini imekuwa kinyume hali imekuwa mbaya mnoo muda wote analia tu kwa maumivu hata kumhudumia mtoto hawezi.
Huu ni uzao wake wa kwanza, naomba msaada ndgu zangu nimsaidieje?
Hospital tumeruhusiwa juzi kwa kupewa vidonge vya ant pain (diclofenac) huku tukihakikishiwa ataendelea vzr kwan hiyo n hali ya kawaida lakini imekuwa kinyume hali imekuwa mbaya mnoo muda wote analia tu kwa maumivu hata kumhudumia mtoto hawezi.
Huu ni uzao wake wa kwanza, naomba msaada ndgu zangu nimsaidieje?